@gwajimatalks: **TALAKA YOYOTE HAIWEZI KUWA SABABU YA MWANAMKE.** Ulimchagua mwenyewe, ukamuoa mwenyewe. Leo akushinde, jiulize kama umetumia akili kumuelewa na kuishi naye. Biblia inasema: **“Kaeni na wake zenu kwa akili.” — 1 Petro 3:7** Ndoa haihitaji nguvu tu; inahitaji **upendo, hekima, uvumilivu na akili.** Usikimbilie talaka kila unapokutana na changamoto. **Jenga ndoa uliyoichagua.**
[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
daaah haya mambo yandoa bwan
2026-09-18 11:47:32
0
mbonye23 :
nyie mnamuelewa hyu
2026-09-03 07:53:23
31
user3615573176567 :
ila kuishi na mtu ambaye akupendi inaumiza sana 💔
2026-09-03 08:25:58
54
Nazmah Suleyman :
Nilichogundua wanaume wengi wao wa nahisi no malaika na ndio maana yeye akicheat anaona ni kosa la mwanamke limefanyika ili acheat,ila wao wenyewe wanasema hakuna mwanaume anaetosheka na mwanamke mmoja🤨.Sasa je ukicheat mwanamke akiondoka tatizo linakua ni la nani??japo kila ndoa Ina matatizo take either ni me au ke hakuna alieumbwa kuvumilia mateso ndani ya ndoa.Ila ndoa Njema inaanza na mwanaume na sio mwanamke.
2026-09-03 09:39:29
28
@Lady_Anitha :
ewaaaaaa baaaaaasi tumefunga kikao
2026-09-03 06:15:51
36
Hassan Manjoti :
Nakupinga 100%
2026-09-03 07:28:02
11
MAMA SAM❤️🥰 :
WACHACHE NDIO WATAKUELEWA BABA
2026-09-03 07:09:21
36
halimambwana958 :
ukweli mchngu
2026-09-03 03:27:06
8
Ususuani :
nikweli. mwanamume akiamua ndoa haiwezi kuvunjika. kumwambia mke nakupenda,niwewe tu, nunua biscuit ya 200 alafu kuwa mwaminifu simple!! hatakama huna pesa atakutunza
2026-09-04 12:35:23
18
Bleden♍ :
basiiiiiiiii, kikao kimefungwa hadi 2030
2026-09-03 07:44:32
20
Oldschool DUD£🇹🇿🎤🎧🎻 :
VIDEO YAKO BADO TUNAYO..
2026-09-03 09:23:38
6
Father & Son :
Nakiondoka tufanyeje
2026-09-03 08:56:35
1
jde :
Kuna mtu atabisha hapa ,
2026-09-04 01:55:20
2
Nelly iteka :
Asante baba mchunganji
2026-09-14 20:47:06
1
king msukuma dalali magomen :
mtumish wa MUNGU je kama hikitoka ije ya doa baba ebu nambie
2026-09-08 08:17:21
0
@officialamina :
Jana nimeachwa Live kabisa
2026-09-06 12:09:42
0
user5043727962183 :
ninashida na namba ya Gwajima kama naweza saidika tafadhali
2026-09-05 05:51:06
1
5(11)2025💔💔🕊️🕊️😭😭 :
Asante baba
2026-09-03 10:02:50
7
Charles Nancy :
😄😄😄😄😄 kweli kabisa
2026-09-03 10:06:35
2
D/Danny boy 56 :
samson vip
adam vip
niongeze
2026-09-03 04:49:55
1
matokeo :
neno linasema mwanake atavunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe,MIthali 14 : 1 mchungaji kumvunjika kuna mambo meng yanachangia hapo bado mtumishi hujaeleka kwa hoja hio.
2026-09-03 08:09:26
0
rehobothi__ :
Sisi kwa Mungu ni kama Mke, naye ametumia mfano huo kwa Taifa la Israel, aliliacha na kulirudia kwa ajili ya Jina lake ! Mungu alitupa Talaka kwa kumkosea! Hili unalifahamu? Sisi ni kama Bibi Harusi kwa Mungu …..
2026-09-03 05:13:35
3
Sarah Chalula :
ukweli kbs🤣🤣
2026-09-03 07:26:46
4
GIANT AWASI :
kwahiyo gwajima unapingana na bibilia
2026-09-03 18:45:38
0
habiba kiponda :
Sasa kama mke mwenye hasikii
2026-09-03 07:32:06
0
To see more videos from user @gwajimatalks, please go to the Tikwm
homepage.