@siasatz: Tumefurahi kuona jitihada za makusudi zinachukuliwa kuhakikisha hali inarudi kama ilivyokuwa awali au pengine iwe nafuu zaidi kama ambavyo Mhe. Rais anataka iwe ili Mtanzania wa Nkasi au Buzebazeba aweze kumudu gharama za ujenzi. Mbali na jitihada hizi tunahitaji cartels zinazonufaika na hii mikakati ya kuumiza wananchi zikomeshwe la sivyo kila baada ya miaka kadhaa tutarudi kujadiliana namna ya kukabili shida ileile kwa sababu hii sio mara ya kwanza #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30
Wow! asante sana tunateseka sana na cement tunashindwa hata kujenga jamani
2026-09-03 10:50:35
1
petersimion453 :
kama makamu simamia upande wako sio lazima utaje mtu mwingine
2026-09-03 13:43:14
1
LUKAS :
usime awari zishuke mh mpaka sh 12000 kwa mfuko hapo ndipo mtakua umetusaidia mh miwa leo mfuko ni sh 23000
2026-09-03 09:30:10
1
gazzer bway :
baba ukitoka hp nenda na kwenye bati punguza napo mana tutajenga lini saiv yn vifaa vya ujenzi kwa ujumla vp bei kali sana
2026-09-03 08:52:55
0
user3551060661824 :
mkuu tunaomba gesi na umeme iwe bei ya chini
2026-09-03 12:32:17
1
Justin stamphord :
ukishasema tu samia suluhu nakosa hamu ya kuangalia hotuba yoyote ile
2026-09-03 12:40:37
1
mark :
tunahitaji cement ishuke bei,bei ya mwisho tunataka iwe 15000 kwa mtu wa kigoma na wale wa mikoa mingine ya mbali
2026-09-03 09:31:59
2
Simon Magaigwa :
AI
2026-09-03 08:46:48
0
S. Sakilo :
Serikali ipunguze matumizi ya Pesa za Posho jamani. Na misafara mikubwa. Na hapo mkifanya hivyo Kodi za bidhaa zipungue ili Mtanzania apate unafuu wa maisha. MSIWE MNAONGEA TU HUKU MAPOSHO MAKUBWA MNAYATAKA TANZANIA INA UTITIRI WA KODI JAMANI.
2026-09-03 10:32:56
2
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm
homepage.