mungu tubariki wote tuliotoka kwenye familia Duni Ili tupate MAFANIKIO Kwa ajili ya familia zetu Amiiin
2026-09-11 18:52:51
27
Fransisco Festo :
jamani ndugu tunaoumia ni sisi ambao tukirudi nyumbani tunakuta wadogo zetu wako kwenye hali hiyo kila tukijitaidi ila badoo tunaumia sana sio siri hadi sasa hakuna utofauti kati ya makuz yetu na wao wadogo zetu..😓😓😓😓😤😤🤔🤔🤔
2026-09-11 12:41:38
52
Chaz :
kwakwer
2026-09-14 14:30:48
0
MP Madini :
life stail
2026-09-13 19:45:46
1
Leonard :
god bless amen
2026-09-12 19:19:58
1
Elias Mahuba :
Yan kama hujapitia hayo maisha usinishauli utanichangany
2026-09-11 05:02:15
17
chenga emanuel :
nimepitiya uku ko ao n mm kabisa
2026-09-11 14:25:13
2
Francis Gidion :
hayo maisha yetu kaka msishangae
2026-09-10 12:25:37
6
1 :
alokua anabembeleza kalala na mbembelezaji akaona asiwe kesi
2026-09-11 14:37:35
7
Chid kunta TZ :
yaaaah allah mungu wa mbingu na ardhi tuamshe nasi wa hali ya chin
sema amiin kama unaamin nawe ipo siku utakuwa msaada kwa watu wenye hali ya chin kama ya ko🙏🙏🙏
2026-09-12 03:42:29
5
Mafinyaa :
poleni
2026-09-11 19:05:38
1
@GASHY KE :
Mimi naomba mungu anipe uwezo ili nieze kwasaidia Weny wako kwenye hali hii hua naumia sanaaah nkiona picha kma hiz hua zavuta hisia hadi najikuta nalia tu🙏🙏🙏🤲🙏