@almecky_tz: Klabu ya Al Ahly Tripoli imewasili salama Zanzibar kuelekea mchezo wa raundi ya kwanza ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) msimu wa 2026/27 dhidi ya KMKM ya Zanzibar. Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (AAKIA), timu hiyo ilitumia usafiri wa mabasi ya umeme ya ZanBus kuelekea hotelini. #Zanzibar #Tanzania #Habari #Football #Trending
Duh hatari hii nameanza mpaka kukodishwa hii tenda basi wangewachia wenye mabasi ya kawaida tu.Yani serekali icho kidogo cha wananchi wankitaka kwa doge
2026-09-03 18:33:07
16
chubeilah_six :
Msichokijua ni kwamba team ikija basi mwenyeji ndie anowajibika kwenye maswala ya usafiri na mengineyo, hivyo basi KMKM ndie mwenyeji wa hii team na ipo chini ya Wizara ya TAMISEMI huenda ikawa imeomba kupitia wizara kupatiwa bus kwaajili ya wageni wao, na hayo mabasi yapo chini ya serikali hivyo hao hawajakodishwa, msisahau ya kwamba tunahost AFCON hivyo ni vyema kuwakirimu wageni kwa mazuri hii nayo itasaidia kukuza utalii
2026-09-03 19:46:06
10
Abdul-Malik :
Ajabu ni nini hapo ?
2026-09-03 15:53:05
4
Khuzaimat Hussein :
Yameanza kukodishwa
2026-09-03 17:51:55
1
Kh Ch M :
Na mm nitakodi kwa ajili ya Harusi ya mwanangu ety
2026-09-04 08:13:05
1
ABDUL :
ZANZIBAR HAKUNA LUXURY BUSS HII SIO SAWA KUWPAKIA KWENYE DALADALA
2026-09-04 01:41:35
1
Venmotz :
Kadi wanayo??
2026-09-05 08:46:41
0
🤡 :
eheeee
2026-09-03 15:51:56
0
Mwanaisha M :
kwenye maisha kweli kuna kupanda na kushuka daa
2026-09-04 16:28:34
0
Narmin Niroo :
watanzania tuna ujinga kupitiliza Kwan hao wageni wanajua kama ya dala Dala msisumbue watu hapa muhimu wawe Wana enjoy bas hayo mengine bus luxury wakidieni WAZAZ wenu mana kama wamewaambia km hii ni daladala mtu wa mwazo kuharibu nchi ni mwananchi mwenyew
2026-09-04 16:13:59
0
0 + 0 = 3 :
Ndo walopelekewa
2026-09-04 14:15:29
0
habib24950 :
Atapigwa mtu kama kalala KM KM na Ahly Tripoli..😂😂😂
2026-09-04 11:03:03
0
ahmed juma :
sasa kweli bada kutumia Costa zetu za kubebea wageni soko letu limekufa sasa kutumika mabus ya kijangwani kubeba tim zinazotoka nje dah
2026-09-04 10:43:22
0
Chi@o~Ming :
😁😁😁😄
2026-09-04 04:30:22
0
ABDUL :
WANASHANGAA MBONA WAMETUPAKIA KWENYE DALADALA ZNZ UPUUZI TU HAWAJIELEWI VIONGOZI
2026-09-04 01:42:46
0
Young liy Tz :
tunu
2026-09-04 01:19:47
0
Low Profile🛞🚨 :
Gari kibao zipo nzuri tu wadau walale njaaa mmekodisha mabus mgawane hamtak wananchi wapate icho kidogo
2026-09-04 01:12:59
0
Low Profile🛞🚨 :
Daladala zenu mkaona zamaan mpandishe wenzenu🤣🤣🤣
2026-09-04 01:11:35
0
Ťħēő🕸️ :
Hy mabus siyapendi
2026-09-03 20:11:11
0
princess zenji :
yaani waja sasa hapo simumepewa tuu taarifa kuwa wametumia hilo Bus jamani
2026-09-03 18:28:54
0
mtoto wa mama zainab :
ila wa zanzibar bwana 🤣🤣🤣
2026-09-03 18:18:21
0
ķĥáĺèed🦅 :
basi haya
2026-09-03 18:07:15
0
Iradukunda Nshimiyimana :
Sasa shida nn
2026-09-03 17:45:42
0
Buthaynah :
Yaani mambo mengine bana 😂 ya hovyo kabisaa ayo mabasi yanatumika kwa wenzetu toka decades zilizopita iwe ajabu 2026 utawala wa AI 😂
2026-09-03 17:26:45
0
user7618872753045 :
mechi lin na mda gan
2026-09-03 17:21:47
0
To see more videos from user @almecky_tz, please go to the Tikwm
homepage.