@bongofive: Dodoma: Mbunge wa Katavi, Thomas Kampala, amesema vita dhidi ya ushoga ni jambo linalopaswa kupewa kipaumbele na kila mmoja, akieleza kuwa vitendo hivyo vinakwenda kinyume na maadili ya jamii. Kampala amesema yupo katika mchakato wa kukutana na wanasheria kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya marekebisho ya sheria, akitaka hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya vitendo anavyovitaja kuwa ni vya ushoga. Amesema miongoni mwa mapendekezo hayo ni kuwepo kwa adhabu kwa mtu atakayebainika kujihusisha na vitendo vya ushoga, akisisitiza kuwa suala hilo linahitaji kushughulikiwa kwa nguvu zaidi. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumzia umuhimu wa kulinda maadili ya jamii na kukabiliana na vitendo anavyodai vinaendelea kuenea. Imeandaliwa na @yasiningitu

Bongofive
Bongofive
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 03 September 2026 15:04:17 GMT
52804
3885
261
138

Music

Download

Comments

user6652240557782
pretty Sally :
mungu akupe nguvu muheshimiwa
2026-09-04 05:19:41
0
user6112881770144
adamuali :
mbona mwandishi unatetea sana shida nini broo
2026-09-03 17:37:06
77
mafuta.dodoma.aliz
MODERN VIEW SUNFLOWER OIL.DOM :
simuelewi mwandishi
2026-09-03 17:15:13
37
minaj_sahil88
minaj-sahil :
Allah amsimamie kwenye hilo swala
2026-09-03 17:54:52
49
twariq200
Twariq_auto_parts :
Allah protect you mbugee💯
2026-09-04 08:59:44
0
gozatalent20
goza tallent :
uyuu ndo mbunge sasa anajielewaa
2026-09-03 21:01:31
16
shabani_store
SHABANI STORE :
Nimesoma comment zote
2026-09-03 19:08:48
0
maganganyhama
maganga#CEO MG COMPANY LIMITE :
mbona kama simwelewi
2026-09-03 17:06:54
6
abuu.dhulqarinain3
Abuu Dhulqarinain :
MUNGU AKULINDE KAKA
2026-09-03 18:01:13
35
shuntah2
@Shuntah :
Mungu akutunze sana mheshimiwa
2026-09-03 18:09:43
23
aminatuswago
Aminatu Swago :
swadakta baba yangu big up sana
2026-09-04 07:54:00
1
tanzania8707
Tanzania :
mungu akukumbuke sanaaa
2026-09-03 18:47:40
12
japongula516
Meneja Ngula :
uyu jamaha mungu ampe maisha malefu
2026-09-03 17:35:34
12
mohamed.masoud090
Mohamed Masoud :
uyo ndio mbunge sasa
2026-09-03 19:00:31
6
mweshe.masaho
Mweshe Masaho :
huyu mwandishi anatia wasiwasi mbona anatetea
2026-09-03 20:07:30
2
upudb.60
upudøbœ #60 :
Mtu wa maan kabisa 😎
2026-09-03 20:48:12
4
xmoker237
SCARFACE 🇹🇿🔥 :
umetishaa babaaa🔥🔥🔥🔥🔥
2026-09-03 20:54:41
3
abdulkarim869
Abuuh ✅ :
hii vita sio nyepesi mungu akusimamie
2026-09-03 19:06:00
5
isca39
p💞 :
Mwandishii mbona unanichanganya sana sikuelewi!
2026-09-03 15:52:45
9
babakhalid81
the mt@n✓ :
mitano tena kwako mkuu🤴
2026-09-03 19:59:55
0
subzerosz5
❤️Bantu💞🇨🇩🇨🇩🇨🇩 :
Allah amlinde huyu kiongozi 🙏🙏
2026-09-03 21:07:18
2
nanaollah01
nanaollah ✨ :
tunamuunga mkono
2026-09-04 03:20:43
1
cayla1099
Cayla :
saf sana baba Mungu akusimamie Kwa hil Hal ni mbaya🙏🙏
2026-09-04 05:03:57
1
prefferedname061
mr catalyst 🩺 :
tusaidiane ku repost ii post
2026-09-03 18:42:22
2
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About