Bulb ulikumbuka kweli mwenetu 😂😂mambo yangu kabisa hayo
2026-09-03 18:14:30
509
Martha H😋 :
uroho ndo unawaponzaga wakishaona umepatengeneza biashara inaenda vizur wanaanza kupandsha kod
2026-09-03 18:52:07
691
afficialycheupe :
Iliwai nitoe kigamboni nimeweka pesa angu kibao nikapandishiwa kodi fasta hawakuamini macho yao siku niliotoa kile nilichoweka kulibaki kama gofu wakanipeleka serikali za mtaa 😂
ilinikutaga 2024 bwana mweny nyumba kanitoa akafungua yy hadi sasa kafunga hana biashara na mm nilipata pale pale upande wa pili biashara imewaka kuliko kweny frem yake .sometimes ni mungu anaamua akupandishe viwango.
2026-09-04 07:15:46
99
Rahma Bakari :
mi nilipataga fremu ilifungwa miaka mi3 yani nilivyolipia usafi vumbi niliumwa mwezi mzima nikafungua salon palivyoanza kuchangamka mwenyewe si akanifukuza akafungua yeye salon kakaa hata mwaka hajamaliza kafunga tena
2026-09-03 21:41:39
83
Ms natty🇷🇼 :
Mnawezaje kuboresha mahar bira makubariano ya kulipNa yaan for freee😂😂 mi siwez jmn
2026-09-04 08:37:52
33
Recho Mtivike :
nikikumbuka nilifuamua Hadi nyaya za umeme 😂😂
2026-09-04 10:44:00
5
jennydavidy :
😂😂😂😂😂😂 Yanakeraaaa manina limoja uku dodoma Nzuguni mnaran nimekaa mwaka,mwaka wa pili nikafunga ila kodi nalipa ila nmelud nikoboresh tent pelving nk pakanoga oyaa awooooo wateja sasa kikaanza oooh kodi imeongezeka mara waleci wanakerere mara tenti linaziba biashara mara uhame nikasema fresh siku nmemaliza kuhamisha vitu nasubili kod iishe nikatoe peving zang natuma vijana et hazitoki hadi alipe 30 yang ya batiki nikapigiwa sm muachieni ondokeni eti akatikana matuni oyaaaa nilienda kabla gari sijaweka p nililuka nikachukua nondo nilibomoa kila kitu mchanga nikalushia barabarani kama kifusi
2026-09-03 22:41:00
32
RK Fashion and accessories 🥰 :
😂Umeweza 🙌🔥
2026-09-03 18:08:34
6
Maryam Gerion39 :
Mimi nimepandisha kozi 5 tofali nimeskim wiring mpya almost milion 3 kapandisha kodi laki na nusu hadi laki 3 sasa asubiri kiondoka kwa Tofali zangu November ndugu zangu watanitoa polisi
2026-09-04 17:53:30
8
Mamkenda Collection Tz :
me ndio mana sifanyagi matengenezo yatayoniumiza kwenye majumba ya watu
2026-09-04 04:48:51
19
Nyser11 :
Naomba mungu aku bariki wewe unae soma iyi comenti amen 🙏
2026-09-05 14:50:44
10
MUMUR SWEET CAKES :
Mi wangu kanambia tar 5 Kesh kutw niondoke😂😂😂
2026-09-04 06:00:34
11
Latteiya Saidy :
Safi sana, wakishaona umepapendezesha ndo wanataka mtu ahame ili wapangishe tena kwa bei ya juu.. umekomeshaje mamy 😂😂
2026-09-03 21:33:27
21
Martha chimosa :
kwel umewaweza🤣🤣
2026-09-03 16:08:19
22
IT'S BIMBO_OKAFOR💜🌸 :
iyo dawa tamu sana 😂
2026-09-04 03:40:54
6
Deemakeup👌 :
naomba uniwakilishe vizuri huko rangi usiiache salam
2026-09-04 05:59:49
12
momy Natasha💓💞 :
😂😂😂ujaniiitaa mbonaa bintiii mm ningeondoka na mageti
2026-09-03 18:24:52
17
𝙙𝙖 𝙙𝙚𝙚🥰 :
Safiiiiii sana mijitu mingine ina roho dhaifu sana
2026-09-04 05:30:46
9
Sasha makeup💄 :
Nmependa hyo😂😂
2026-09-03 18:22:15
8
To see more videos from user @momyqu5, please go to the Tikwm
homepage.