@wepesitv: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na Timu yake kuhakikisha bei ya saruji inashuka kama ilivyokuwa awali ili Watanzania waendelee na shughuli za kukuza uchumi wao. Akizungumza Jijini Dar es salaam, Ndejembi amesema “Serikali hii ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia maelekezo yake, inataka kuona Mtanzania anapata mfuko wa saruji kwa gharama nafuu. “Kwa hiyo, niwatake Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na timu yako, malizeni hili jambo ili Mtanzania wa kawaida apate bei ya saruji kama ilivyokuwa hapo awali, kwa kuhakikisha uzalishaji unaratibiwa na kusawazishwa,”
WEPESI TV
Region: TZ
Thursday 03 September 2026 17:26:15 GMT
Music
Download
Comments
leonardjackson13 :
kwtu elufu 30000
2026-09-04 20:53:22
0
Gorgeous nisa :
Ccm oyeee so proud of u our shoolmate mhe deo
2026-09-04 13:12:11
2
mwanyengo :
waoooo🙏
2026-09-03 20:42:50
0
user7342204772568 :
naona kabsa nnavoenda kumalzia nyumba yangu😁😁
2026-09-03 19:33:29
13
Frank Temba :
lakini utaongea yanaishia hapo hapo
2026-09-03 19:17:04
19
user6127000481540 :
Ishuke mpaka eLfu kumi
2026-09-03 18:39:42
9
user37881092045302 :
hongera
2026-09-04 06:35:06
0
nangetia namshitu :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰kula kopa
2026-09-04 18:36:43
3
user8366793351172 :
kidogo tunaanz kukuelew kaka
2026-09-04 19:01:54
1
Rider 007 :
usisahau na mafuta pia yauzwee kama apoo hawal
2026-09-03 19:47:13
3
Livin :
cement ishuke genz na sisi tujenge vibanda vyetu😅
2026-09-04 19:03:29
1
Damac Eliud :
huku tunanunua cement mfuko mmoja 24000
2026-09-04 18:37:18
1
Vertucy Enrique :
Kama kweli hivi munavyozungumza kwenye majukwaa, ndo kwaaanza vitu vinapanda bei tu😔
2026-09-04 05:50:22
6
Official Mtu wa Mungu :
Safi sana baba,watu tumesitisha kujenga sababu Matirio yamekuwa ni ya Moto sana.
2026-09-04 10:57:52
5
Amani Mwalusamba Amani Mwalusa :
izo siasa mnaongea apo uku mambo ni yaleyale
2026-09-03 20:46:55
6
halima tizi :
Sasa ndo viongozi tunao wataka kama hawa
2026-09-03 18:56:46
6
Noel bakola :
piga kazi kaka una baya chili amonga
2026-09-03 19:44:45
6
Shehu Aniceth :
mungu ametuona Kwa kutuletea huyu
2026-09-04 11:44:28
1
𝚄𝚔𝚒𝚖𝚊𝚕𝚒𝚣𝚊 𝙱𝚊𝚜 :
𝚞𝚖𝚎𝚝𝚞𝚐𝚞𝚜𝚊 𝚜𝚊𝚜𝚊 𝚝𝚞𝚗𝚊𝚘𝚝𝚎𝚐𝚎𝚖𝚎𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚎𝚗𝚐𝚊 𝚝𝚞𝚜𝚒𝚗𝚍𝚠𝚎 𝚔𝚞𝚓𝚎𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚒 𝚜𝚜
2026-09-04 14:26:30
1
herman kifyasi :
Mbona kama kuna mtu humuuu????
2026-09-03 19:31:53
3
mnavubakari :
umetisha mkuu unyama sana
2026-09-04 08:47:22
2
Kemmy Rwechungula Francis :
Na chakula, mafuta ya kupikia.
2026-09-03 20:19:34
2
wema42 :
duuh nlikuwa nimepanga nijengee tope kumbe nitajengea cement sasa😁
2026-09-04 06:32:57
4
Oscar wilibard Kambona :
sitaki kuamini bei ya siment kiwandani na bei ya mtaani yaani hakuna uwiano labisaaaa
2026-09-04 13:34:50
1
To see more videos from user @wepesitv, please go to the Tikwm
homepage.