@ali.faza:

ALI FAZA
ALI FAZA
Open In TikTok:
Region: QA
Thursday 03 September 2026 18:24:02 GMT
19032
1303
167
225

Music

Download

Comments

user5287311459702
omi11 :
wambie aoooo wambile wackileee
2026-09-04 06:16:17
0
saidisaid385
Saidi SaidOGETTA1999 :
tell them, ya ustadh
2026-09-04 13:02:41
0
karala.jafar
Karala Jafar :
shukran jazakallhu kheir
2026-09-03 20:20:07
2
qataadah19
Haqeem :
وَمَا أَرْسَلْنَا مِن رَسُولٍ إِلَا بِلِسَانِ قَوْمِهِ لِيُبَيِّنَلَهُمْ“Na Hatukumtuma Mtume yeyote isipokuwa kwa lugha ya watu wake, ili awabainishie.” (Surah Ibrāhīm 14:4)
2026-09-04 14:51:08
3
flower..152
Flower one :
Tell them
2026-09-03 23:36:53
3
user26957555165247
Abdallah Adamu Mlanga :
Kiarabu na kiswahili zote ni lugha
2026-09-04 11:38:18
3
saidtwaha
SAID TWAHA :
Umegonga ndipo. Maa shaa Allah ❤️❤️❤️
2026-09-04 00:26:36
12
abuumohamed749
AbuuMohamed :
masufi shida yao hawataki kusoma rudi kwenye kitabu hiki kuhusu khutba kwa kiswahili .. سيره اعلام النبلاء. امام الذهبي / الفقه على المذاهب اربع.
2026-09-04 01:51:47
2
fundi.bwanamkuu.k
fundi Bwanamkuu kipini :
Ngoma misikitini ondoweni.
2026-09-04 12:09:59
1
notwithyou18
Havintishi :
munatuzingua hata quran wakati wa mtume saw haikutafsiriwa kwa kiswahili, je tusiisome
2026-09-04 04:35:44
3
user1322200745302
parah 25 :
sisi ni waswahili hutuba ni ujumbe unatakiwa rutumie lughainayoekeweka
2026-09-04 12:32:39
1
ramsomoney
Ramso money uchebe :
jamani sasa akhutubu kiarabu kwaambao hawajui kiarabu watajua vipi kwamba khutuba imeeleza nini
2026-09-04 05:44:53
0
user3229816128618
Reehan Ray :
kila kiongozi atawaelekeza watu wake kwa lugha watakayoielewa na hiyo ndio hekma na kama Alla anavyosema tuliwatumia kila kaumu ndugu zao ambao ni mitume na khuthba ya Ijumaa hutolewa kwa kiarabu lugha zingine ni tafsiri tu ya yale yaliyosemwa kwa hivyo hakuna bidhaa hapo
2026-09-04 16:51:02
0
moh.spices2
moh spices :
unajua kuna vitu havikufanywa kipindi cha mtume na madhehebu yote wanafanya hakuna anaepinga kwa sababu havina madhara kwenye ibada ukiona kitu kinapingwa ujue kina Shari
2026-09-04 11:24:22
0
user78791734302836
user78791734302836 :
mna potenza wakati mwingi kwa ikhtilafat,watoto wanapotea,nyumba za vunjika . mnashindaniya kilómetros gani?? umma inashida na mnatupeleka mashriq na magrib. tulieni mtuongoze
2026-09-04 17:37:18
1
mashjarydollar
mashjarydollar :
Tufanyeni KIKAMILIFU aliyo yafanya MtUME, masha ALLAH sayid Arif umefafanua kwa ufasaha hawataki kuelewa
2026-09-03 20:06:08
4
mohamedizo575
mohamedizo575 :
kwani mtume alikuwa ni mswahili hata atoe hutba ya kiswahili. Alitoa hutba kulingana na kabila lake kisha Faida ya hutba ni nini. watu waelewe kinacho zungumzwa sasa sisi ni waarabu.
2026-09-04 07:54:54
2
abuumohamed749
AbuuMohamed :
je malengo ya khutba yanapatikana kwa kiarabu..jaribu umuulize mtu pale unatoa khutba ya kiarabu watu wanakuelewa.
2026-09-04 13:36:16
1
user26957555165247
Abdallah Adamu Mlanga :
Unaongea siasa
2026-09-04 11:36:40
0
abdullykilola0
abdullykilola :
mungu ndio hakimu wa haya yote
2026-09-04 04:51:39
2
1234abuabdul
Abu Abdul :
Shida si mahali pake.je nikisoma tashahud badala ya suratul fatihah ni makosa?
2026-09-04 01:35:55
0
qataadah19
Haqeem :
khutba ya mtume ilikua ya kiarabu maana jamii yake ilikua ni waarabu wenziwe, na hao walioslim ambao c waarabu ilikua ni lazma wajufunze kiarabu.
2026-09-04 14:53:43
1
74.sheikh.ibrahim
sheikh Ibrahim Said :
Uislamu imefika Faris ( Iran kwa SASA) za ya Omar bin khatab.. lakini Masahaba wala tabiin hawakufanya Khutba iwe Faris. imebaki vile vile kiarabu
2026-09-03 22:44:07
3
ablackmoha
ABLACKMOHA :
twaib yaa sheikh, ALLAHU AKBAR,
2026-09-04 04:41:31
2
To see more videos from user @ali.faza, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About