JAMANI hii nchi hatujawah kupumzik tangu October 29🤣🤣🤣 mara Wema kajifungua, punde si punde Zuchu na baby shower hatujakaa. Sawa miaka30 ya Bongo flavour na tunaanza kukaa Sawa Dotto Magari kaathirika, Dotto analet vipimo kutoka Zanzibar, mara kuna mtu katoka kigoma na baiskeli mpaka kawe kwa mwamposa, mara police wamechukua simu ya pipytida mara Nchimbi anatupanga tudai katiba kabla hatujakubali Wema kawa single mother tunaanza kutaharuki Baba Nchimbi kajiuzulu haya tunaamka asubuhi kumbe CCM walimfukuza huyu Mzee sasa ndio nataka kutulia nakuta mwamposa kaangusha mchawi huko Arusha alikuwa anatoka bariadi kwenda mbeya daaa hii kasheshe nayo sijakaa vzur kuna free juma jux🤣🤣🤣 cjakunywa ata chai maua sama ni kajifungua😅
2026-09-04 06:57:41
60
trebor_rs :
Hao ndo ninaowataka.. hawezi kuchukia huyo 😅😅😅
2026-09-04 06:20:52
78
MR COFMO💠 :
HAO NDO NAOWATAKA, NAJUA HAWEZI KUCHUKIA
2026-09-04 11:51:24
62
gweno boy :
ameisha
2026-09-04 09:13:23
5
Mr jobless :
Je ssss,,je sssss 😁😁😁
2026-09-05 10:55:23
6
ibrahimu Fredrick :
😄😄😄😄😄 yaaani kama najiona navyo mwambia akae hata miezi, an duuuh 😁🙏 acha niishi kuona clip tu
2026-09-04 09:44:39
24
Will_KiD27 :
Sure..
2026-09-04 09:26:49
7
Junior 38g :
Umesema umetoka wapi dada@
2026-09-04 07:53:49
14
Inspector tiddy :
Hapo nampigia Jerome namwambia " Jerome nipo kwenye Amri hapa😁
2026-09-04 06:16:32
11
MR CHAKUPEWA_07🇹🇿 :
ndio nimetoka kupokea mkopo wangu bank je malejesho talejesha vipi kwanini kila siku Mimi tu
2026-09-04 06:30:04
9
Menady :
Kuna mtu leo ameomba Mungu ampe hata kidogo tu, lakini mpaka sasa hajui kesho itakuwaje. Ana mahitaji mengi kuliko uwezo wake. Mungu akukumbuke leo. Akufungulie mlango wa riziki ambao utakufanya ulie kwa furaha baada ya muda mrefu wa kulia kwa shida. ❤️🙏
2026-09-06 00:05:26
11
kitengo 457 :
mkeeeeeeeeeeeeh
2026-09-04 11:20:47
5
ctv.bm tz :
je siiih je siiih 🤣🤣🤣🤣
2026-09-04 09:45:31
6
user6714065184884 :
mwaka najua hawawez kuchukia waaach mamb
2026-09-04 07:12:27
8
jeremiah mwita :
siwezi kusema sana vitendo vitafanya niongee😁
2026-09-09 08:50:51
2
andrewjr :
KAISHA HUYOO 😁😁😁😁
2026-09-04 09:01:13
4
Oscar shayo :
mwezi 🤣🤣 haumjapenda🤣🤣🤣
2026-09-04 07:24:33
2
Jamêx kng :
ndoaaaa
2026-09-07 11:29:52
1
Abuu tz 🇹🇿 :
unaruka nae kabisa
2026-09-04 08:16:47
1
To see more videos from user @pengo_makeke, please go to the Tikwm
homepage.