@nairobi_juice: Kakamega hotel owner "disciplined" by a local man after increasing the price of ugali & omena by just KSh 10. #nairobitiktokers #kenyans #tiktokkenya
juzi uliongeza bei ya chai tukanyamaza..
hapo kwa ugali nayo ulifanya vibaya😂😂😂
2026-09-04 08:39:00
52
Simon Weru :
usipandishe punguza
2026-09-04 09:09:33
4
🎲 KIDAISI :
ata mm nimepandisha bei
2026-09-04 07:42:58
16
THE NOBLE ✡️☯️ :
juzi ulipandisha mandazi tukanyamaza 😅😂
2026-09-04 08:38:59
14
Ro-Wa-Eth-Ian :
uchumi ya Hali ya ukame😅
2026-09-04 08:31:31
8
ⓀⒺⓃⓃⓎ :
hakufanya public participation
2026-09-04 08:57:35
1
Khan Designs and Interiors :
sasa oneni shida Ruto ameteletea
2026-09-04 07:22:59
2
.. :
ulifanya public partcipation
2026-09-04 10:00:28
2
Ben Mamba :
vijana mkikuja mkisikia bei imepanda Kwa hoteli zote, usiche ukachukua Sheria Kwa mikono Yako, ni serikali infanya hii mambo,,😂 point taken
2026-09-04 07:57:47
11
Kingfisher :
Angefanya public participation 😂
2026-09-04 08:58:45
1
twofivefour :
ukame imeletwa na serikali .wakenya😂
2026-09-04 08:14:25
4
❤️ Corazon 💯 📌 :
eeeeh noma💯😂
2026-09-04 07:53:52
2
🦋Wanjiru 👑🦋 :
maziwa na mayai zimepanda bei waah😏😳😳
2026-09-04 08:42:06
1
EZRA CE›‹E :
wee ndo tunataka na serkali mwelewane ,,kwanza maziwa watu wa maduka
2026-09-04 10:02:19
0
Mongre fashions :
upandishe chai tunyamaze alafu uguze ugali?
2026-09-04 10:03:25
0
@an-zey💚 :
watching this nakula omena ugali nomitisha tu sijui ni pesa ngapi😂😂😂
2026-09-04 09:58:39
0
Lyon Kinyanjui :
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😁😁
2026-09-04 11:09:34
0
mamaterry :
please naomba someone anunulie mtoto wangu 3 exercise books hata kama ni zile za 96pages za 30sh Moja Jana alikuja kama ameandikia kwa kitabu ya different subject kutokana na nyuma na anafaa atrasfae hiyo kazi nilimpromise nitampelekea shule and am so so down na Sina tegemeo hata ya kibarua niliraukia kutafuta na sifanikiwa kutoka morning ya 6
2026-09-04 10:24:59
0
brandon.evan25 :
brother ya Nuru okanga 😅😅
2026-09-04 10:06:56
0
Makau8 :
noma🔥🔥
2026-09-04 08:53:53
0
To see more videos from user @nairobi_juice, please go to the Tikwm
homepage.