@seramedia_tz:

sera media
sera media
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 04 September 2026 07:39:58 GMT
32453
1029
90
35

Music

Download

Comments

yekrinasoftwares
YekrinaSoftwares :
hii point
2026-09-04 13:39:37
0
cleartzboy
cleartzboy :
sasa mmeanza kufanya vtu muhim kaz nzuri
2026-09-04 10:47:54
18
mol_in1w
Mol_@1w :
umekuja vizuri hapo waziri nimekuelewa 💯💯
2026-09-04 11:28:13
10
victoria.gl20
Victoria GL :
good job brother
2026-09-04 09:55:57
2
user1537555059781
mtu mweusi :
halotel wez sna hao
2026-09-04 09:58:18
10
apolinary.mungai
Apolinary Mungai Msele :
Sasa waziri wa mambo ya ndani wizara ya mawasiliano unafikaje wakati huko kunae waziri wa mawasiliano?
2026-09-04 12:09:32
1
nseyaa73
masanja 22 :
msisahau na makato ya mda wamaongezi kuisha bila kukitumia ss
2026-09-04 10:24:30
4
major.kiddie
Major Kiddie :
Hapo sawa Muheshimiwa rais
2026-09-04 10:45:37
4
kawizankinga2
kawizankinga911 :
wezi waziri ndo wafanyakazi wao
2026-09-04 10:35:08
2
nck231_
Ja Rule :
Hiyo meza ina vinywaji vya gharama boss
2026-09-04 10:40:57
3
captain_scott099
Captain_Scott :
watumishi wenyewe wanahusika kutuibia
2026-09-04 12:05:10
1
pascalambokile
pascalambokile :
duu sikutegemea hili good job
2026-09-04 10:18:04
2
mdumajose
mduma :
usajili wa mitaani ukome kabisa kuwa na utaratibu mzuri watu wafike kwenye maduka yao mbona bank Wana mawakala mtaani ila hawasajili card za bank afu wanaokuja saivi wanasema ni buree wizi mtupu
2026-09-04 10:54:16
0
user4178760508393
dokta_mitishamba :
hayo ndo mambo ya msingi sasa tunayotaka tanzania😂😅🤣
2026-09-04 10:42:59
1
ame94961
ame :
kweli mkuu ttzo la wiki linaanzia na wafanya kazi wa mitaandao yote tanzania tena lichunguzeni kwa kina sana hili
2026-09-04 10:48:40
1
addy.victor8
addy victor 🦋 :
Wanatwambia Bando la week elf3 alaf linaisha kwa masaa ma3🤣🤣🤣
2026-09-04 11:26:26
1
babaannastazia_sia
BABA ANNA² :
kwa malayakwanza👍👍👍
2026-09-04 10:11:20
4
joice.boaz6
FM. VITENGE :
apo ume cheza
2026-09-04 10:17:57
1
kingmarley377
kingmarley377 :
hapo ni big up mkuu
2026-09-04 09:15:15
6
oneaglewings
On Eagle Wings :
big up sana wazir
2026-09-04 13:48:05
0
joyibra255
Joy :
Safi
2026-09-04 14:20:49
0
daddy__lavish
london__dior :
Unakuta upo kwenye mchakato wa kutumiwa hela , wakati unasubiria hiyo pesa unashangaa unanza kutumiwa text za “kutuma pesa kwenye namba flani” ni nani aliyenasa haya maongezi?
2026-09-04 14:17:18
0
marera.expedition8
marera expedition :
Kuna namna wanawaaajiri watumishi wasiokuwa waaminifu unakuta wamiliki hawafahamu
2026-09-04 13:41:53
0
mosesdm3
Engineer by Nature :
Wanatupiga sana mitandao
2026-09-04 10:32:41
0
To see more videos from user @seramedia_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About