@mzeewacodes7: Mbunge wa Katavi Thomas Maganga amesema “Naendelea kukaa na Wanasheria na watu wote na watu wote wanaochukia hivo vitendo kutafuta namna bora ya kurekebisha sheria hili sasa hata waajiri wako kama mtu anaweza kuhukumiwa kunyongwa kutokana na mazingira kwa nyinyi wa ajiri yani wewe tunakuhisi ni shoga na tunahisi matendo yako yanafatana na vitu kama hivi usichukuliwe hatua kwahiyo tunataka kuleta mabadiliko ya sheria” “Kwanza moja mwanaume kujifanya mwanamke ni kosa hukumu yake iwe wazi huwezi kufanya matangazo ya biashara wewe mwanaume mpaka kuanza kuvaa mawigi sijui kuanza kuneng’ua kama mtoto wakike hapana”. Thomas Maganga

mzeewacodes
mzeewacodes
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 04 September 2026 08:24:28 GMT
873
30
3
0

Music

Download

Comments

user4115303630627
GOLD IS OLD :
big big point.
2026-09-04 12:32:51
0
barakamuro437
BBM437 :
kabisa kiongozi
2026-09-04 10:56:52
0
user4314541813662
major car acc :
sahihi kabisa
2026-09-04 13:52:38
0
To see more videos from user @mzeewacodes7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About