@bbcnewsswahili: Je unaweza kukubali kumbebea mtu mwengine ujauzito au kubebewa mimba na mtu mwengine? Mtindo huu umeanza kushika kasi kama mojawapo ya suluhu zinazofaa zaidi kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi. Kwa jina la kitaalamu 'surrogacy', ambapo kiinitete huundwa kwa kutumia yai la mama lililokusudiwa na mbegu za kiume za baba anayekusudiwa kisha kuhamishiwa kwenye mfuko wa uzazi wa mtu mwingine. Ingawa hii inazidi kupata umaarufu, nchi za Kiafrika hata hivyo hazina sheria zinazofaa za kuwalinda akina mama wajawazito na wazazi wanaowaagiza. Nchini Kenya, Ukosefu wa sheria juu ya kuasili imefanya iwe vigumu kwa wazazi kupata watoto wao kwa vile wanapaswa kupitia mchakato mgumu wa kuasili. Agnes Penda amezungumza na mwanamke anayefanya kazi ya kubebea wengine mimba na mtaalamu wa upandikizaji. #bbcswahili #foryou #fyp #kenyantiktok #surrogacykenya
surrogacy is not everyone. you need to be disciplined etc not umebebea mtu mtoto na unahanya,unakunya pombe etc .Am also looking for a surrogate.Must be disciplined one
2026-09-07 15:18:46
7
Miriam J 💯 :
Bei gan kubeba mimba Moja
2026-09-06 19:28:15
37
SASHABEB :
HUYU NAMJUA NISHAWAI KWA NAE NYUMBA MOJA. SHE IS BEAUTIFUL AND YOUNG NA AKO NA HAO WATOTO AND SHE KNOWS HOW TO COOK WELL
2026-09-06 21:15:32
7
Chesaah :
naweza beba pia nipee connection ya surrogate
2026-09-06 21:54:23
1
Leah Richo :
how can I be a surrogate, where can I get a client
2026-09-07 09:59:05
0
Miriam ray :
how old are you
2026-09-06 18:15:31
0
bettyada5 :
yes naweza bora tu kuelewana niko na watu tano wanataka hiyo kazi
2026-09-06 21:47:23
12
🦋Tia🦋 :
I know this lady..she's one of the best people 🥰
2026-09-07 05:37:10
18
shiku joyce :
I need child please give me number
2026-09-06 21:57:39
1
cute.....ray💖💖💖💖 :
mkuje Sasa mm hii kazi naipenda hatari😂
2026-09-06 21:45:51
8
jokenya🇰🇪 :
I would like to help too even once to someone and bring a smile to her
2026-09-06 19:03:00
9
Moulyline :
Mimi Niko hapa simtu anichukuee nimbebe mtoi
2026-09-08 07:31:45
0
🇰🇪Kemmy254 ❤️ :
nipee connection 😂😂😂
2026-09-07 22:46:21
0
aluwagetrude :
siwezi hataziku moja hiii maumivu ya mwezi 9 ili nipane mutoto siwezi
2026-09-06 21:26:25
6
lrine🇰🇪 :
weee na vile kuzaa ni uchungu
2026-09-06 18:50:28
9
daisha :
kubeba triplets ni how much. economy ni mbaya
2026-09-06 23:35:43
7
MISSZANZIBAR😍 :
I love to help like ile bond ya kubeba mimba miez 9 alafu nipean sijui km nitaweza
2026-09-06 18:13:07
5
wambu 💕💜 :
mm siezi bebea mtu 😁😁😁
2026-09-07 14:43:45
0
@Monipesh the songwriter :
nakumbuka 2015 Kuna mtu aliniambia nimbebe mimba nilipwe 300k nikakataa heri ningekubali
2026-09-07 21:20:20
1
user1888083921572 :
Gai 🙆,nitapata wapi mtu wa kubebeya mtoi aki coz I can
2026-09-08 10:44:12
0
Aush da girl toto🇴🇲🇰🇪 :
hii hosi iko wapi
2026-09-07 05:23:23
2
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm
homepage.