@5star_newstz: Msanii Gigy Money amefichua kuwa wakati alipohudhuria kikao na Waziri pamoja na wasanii wengine siku chache zilizopita, kila msanii alipewa Shilingi 50,000 kwa ajili ya chakula. Gigy Money ameyasema hayo akieleza kilichotokea katika kikao hicho kilichowakutanisha viongozi na wasanii. #updates #5starnewstz