@mjomba.nzala: jinsi ASKOFU KAKOBE Alivyotoa Siri 12 za UCHAWI wa MWAMPOSA. #mwamposa #kakobe ##uchawi #mwigulu #simba #yanga #azamsports #kenya #tanzaniatiktok🇹🇿
niacheni natumia maji na mafuta na mambo yangu yanaenda
2026-09-05 15:10:17
8
Jaji :
hivi ni kweli kuna mtu anayeuza maji ya 1000 kwa laki moja jamani kama ni kweli basi Mungu turehemu
2026-09-05 07:42:02
10
Melissa chiomma🌻🌻 :
Ila wivuuu jmn 😂wivu mbaya sana aliepewa kapewa tu Kila mtu atumie karama yake Mungu aliompa
2026-09-05 09:34:49
6
Esther richard :
Kila mtu akae kwenye kituo chake tunausubiri Yesu aje aamue
2026-09-05 09:04:57
4
Roida Malekela :
watu wanakimbiza miujiza lakini kulijua neno la Mungu hawataki
2026-09-05 14:13:32
6
obadiamtafya :
mtuachie mwamposa wetu
2026-09-05 13:20:19
4
Amon Anatory :
hii ni vita na washindi ndo sisi
2026-09-05 12:03:29
4
manwizooooo :
mungu wa kwel ni Allah pekee
2026-09-05 08:41:14
0
MTOKA# :
huwez amini mwaposa alimtoa ndagu kakobe
2026-09-05 04:43:43
0
deborachambulila :
Mungu awape macho ya rohoni watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
2026-09-05 15:48:31
1
EMANUEL Batlimayo :
dini ni siasa sikuizi jaman ata yesu alipingwa kpindi anaponya
2026-09-05 08:05:54
3
fadhilikalmera :
na WA kwake utatolewa na nani au biashara kuzidiana
2026-09-05 04:45:36
3
herenpatrick :
bado ujasema
2026-09-05 08:04:11
2
Miyaga Sara :
ubirini neno lamungu kwenye ibada Sasa mkikaa mnaubiri mtu nikazi ngumu Mungu tusaidie
2026-09-05 09:58:23
3
glorymunis67 :
ni vyema mtu akisimama kwenye madhabahu ahubiri yaliyo mema Kwa waumini wake sio kila siku kumkosoa mtu mbona wanaoenda Kwa waganga na kufanya maagano ya kiganga hamsemi
2026-09-05 17:38:40
0
Mbakizao :
sasa hapo siri 12 za uchawi wa mwamposa ziko wapi? na jina la mwamposa mbona halijatajwa?
2026-09-05 09:35:52
1
MJOMBA NZALA :
ila watumishi wa MUNGU Kwanini hawafuati maandiko
2026-09-04 17:00:18
1
Salome🌹🌹🌹 :
kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
2026-09-05 14:47:42
0
🏠🏠home balance store :
tunataka hivyohivyo uchawi wek
2026-09-05 14:42:41
0
balakalukas :
mwamposa oye tuache naimani zetu
2026-09-05 18:25:39
0
Ultraversion261 :
ninachoka sana na awa watumishi,kakobe leo anamsema mwamposa wakati na yeye enzi zake walimsema mchawi madhabau yaki akiwa ayupo watu wanawekewa tv aruusiwi mtu zaid yake kuubiri madhabauni pake.kweli Mungu tusaidie sasaivi niwakati wako wakusema wengine.
2026-09-05 16:48:36
3
Shedrack Salai :
ebu. tuache na mwamposa. wetu
2026-09-05 17:28:14
2
jeremiah :
amen baba
2026-09-05 15:25:28
0
zakayomwana48 :
mbona arikimbia
2026-09-04 20:08:10
0
To see more videos from user @mjomba.nzala, please go to the Tikwm
homepage.