@chomozatv: Hivi ndoa nyingi zinasambaratika kwa sababu ya mwanamke kupewa uhuru na upendo mwingi? 😳 Mama huyu anaeleza wazi jinsi anavyompiga mumewe mwalimu, kumnyonga na kumng'ata licha ya mume kumtunza na kumpa kila kitu. Pastor Ezekiel anafunguka kuhusu wanawake wanaopendwa zaidi kwenye ndoa nini utokea Kwenye maisha yao Mtu Wa Mungu Unafikiri shida iko wapi hapa? #2026angaza