@sauti_online: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Sheikh Said Mwaipopo alikuwa na nia njema kuunda makundi ya 'Chui Mweusi na Mbwa Mwitu' aliyoyataja kukabiliana na waliopanga kuandamana tarehe 7 mwezi wa 7 'Sabasaba' akieleza kuwa alichukua hatua hiyo kutokana na uchungu aliokuwa nao kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025. Hata hivyo, Katambi amesema nia njema haiwezi kuhalalisha njia iliyotumika, akisisitiza kuwa masuala ya ulinzi na usalama yanapaswa kufanywa kwa kufuata utaratibu unaotambuliwa na mamlaka, hususan Jeshi la Polisi.
hi nchi ina vichekesho sana yani ni kama vile watu wanarekod move daa
2026-09-04 21:16:49
1
Tunashinda :
Yeye siyo mhaini
2026-09-04 21:52:31
0
Alex :
mbeleeeee tembeaaaaaaa
2026-09-04 20:13:27
0
Nyoni JR :
Ivimnajuwa kwamba tunatumia pesa kuingia mitandaoni
2026-09-04 20:52:54
0
Aliyu Kagambo :
Amen urinzi shirikishi kwa sababu wenye chuki binafsi wakutane na chui
2026-09-04 19:26:34
0
user3310841798159 :
Sasa tukuulize katambi sheria inaruhusu kuwa na vikundi vya chuii sisi kile kikundi chetu cha komandoyoso na pants road kwanini mlikisambaratisha
2026-09-04 20:56:24
0
user39997742280796 :
hii sasa ndo selikali
2026-09-04 20:45:07
0
Bosco Nkya :
unapo kutana na kichaa barabarani kama siyo ndugu yako unamcheka
uyu mwaipopo mpaka sasa angetakiwa kuwa jela ila hii serikali ni mzigo kweli,tupiganie katiba mpya kwanza hii ni kwakila mtanzania
2026-09-04 20:31:52
0
jacksonmashindeki :
tz kama so taifa lako linachekesha sana
2026-09-04 20:26:35
0
Tunashinda :
kwaiyo yeye siyo mhaini
2026-09-04 21:52:52
0
To see more videos from user @sauti_online, please go to the Tikwm
homepage.