@userbradboy40: Kocha mkuu wa timu ya Taifa la Tanzania taifa stars 🇹🇿, Miguel Gamondi katika kikosi cha awali alichokiita, amewajumuisha mastaa 7 wa timu ya Simba SC Tanzania . Mastaa hao ni; 1. Vedastus masinde beki wa kati 2. Antony mligo beki wa kushoto. 3. Nickson Kibabage beki wa kushoto. 4. Nathaniel chilambo beki wa kulia. 5. Yusuph Kagoma kiungo mkabaji. 6. Morice Abraham kiungo mshambuliaji. 7. Bakari msimu kiungo wa pembeni.