@master.codie:

master code
master code
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 04 September 2026 19:26:32 GMT
62285
3876
97
18

Music

Download

Comments

kemalshaban
kemalshaban :
Ata sisi tumemsikia sowah simba hakufai
2026-09-04 20:35:52
39
gun4hire_1
GUN 4 HIRE :
Point yako nini
2026-09-05 12:11:42
0
shedrack1482
shedrack :
sisi yanga wenyewe hatuwataki yanga hainyenyekei mchezaji🤣🤣🤣
2026-09-04 19:45:30
32
vallencefrolence
viny@ :
most fball content creater,,,*
2026-09-05 08:38:26
1
wamajelenga
chipangula nfb :
mmh!! ww unasemaje
2026-09-05 17:06:12
2
cut.isabella
cut Isabella :
yanga ni mwendo wa ugari na sukari, kwanini wakae kimya?
2026-09-04 19:53:54
13
muosha_magari_dodoma
JABU :
Kama uongozi wa yanga ni wa kubabaisha mbona Aziz Ki amerudi…..???
2026-09-04 22:21:10
7
iallando
Notorious :
kosa la Eng hapo ni kukataa kuvunja mikataba kiholela au shida nini? chama amesema kua alimuomba arejeshe fedha before hajatambulishwa Yanga kitu ambacho Eng alikataa kulifanya sababu alisaini mkataba wakiwa hotelini na akiwa na akili timamu, nini kilimfanya atake kurejesha fedha siku kadhaa baadae?? wachezaji waache tamaa hata chama kakubali alikosea
2026-09-04 21:30:49
9
reney099
Irene 😘 :
umemsikiliza sowa Nini amesema😂😂😂
2026-09-05 05:37:53
1
shamkiss.omar2
Shamkiss Omar :
aziz k siyo kwa ajili ya yanga bali hamisa
2026-09-05 13:37:05
0
user281598140609
ONE BOY :
mwenda nae😂😂
2026-09-04 19:37:04
3
allyurembo735
Ally Urembo :
mbona husemi Sawa anavyojuta
2026-09-05 08:21:36
1
stonemanog
stoneManOg :
Yanga alikuwa hachezi ,Lazima akumbuke kule anakopata nafasi Yanga siyo michezo ni KAZI KAZI
2026-09-04 19:38:40
4
yoah370
yoah@41 :
uwezo wake ulikuwa mdogo ukilinganisha na wachezaji tuliokuwa nao , sasa angeweje kuanza first eleven!
2026-09-05 10:40:51
1
jay.dani4
mbeya prince 👑 :
NAITWA MAGEMBE NI MUUZAJI WA MAHADI WEA😁😁😁
2026-09-04 21:44:21
2
user5262860963912
mussaKkkk :
hn😊
2026-09-05 06:01:08
1
princess.yanga5
princess YANGA 🥰 :
kwani sasa fei anasemaje kuhusu kurudi YANGA Yuko tayali kurudi YANGA 😳😳😁😁😁😁 sijui mnaropoka
2026-09-04 19:52:21
2
user73848601181291
KELVIN SIMBA🦁🦁🦁 :
kaka nikuulize ki2
2026-09-04 19:38:01
0
wosteal
Wosteal :
na nukuu, "nilimuomba engneer nirudishe pesa nibakie simba lakini boss wa yanga alikataa " swali je chama alienda yanga akitokea simba?
2026-09-05 06:47:50
1
ryzersemlangwa
Ryzer semlangwa :
Saw mtetez wa chama
2026-09-05 05:46:51
0
jeremiah.maganda
Jeremiah maganda :
hata ss hatuwataki
2026-09-05 11:15:27
0
jay199838
jay19 :
hakuna mchezaj mkubw kuliko team, pale yanga watapita wengi sana
2026-09-05 10:09:12
0
omarimakeke
omari makeke :
sawa lakini yanga sisi Daima mbele nyumba mwiko
2026-09-05 08:58:41
0
billbo_beganc
Teo_Excavator💪👷🇹🇿 :
master pale kwenu kuna shida ila timu imejificha kwenye makombe na ushindi vinginevyo mbona tungeona mengi
2026-09-05 12:48:51
0
john.gura51
john gura :
usimsahau soha
2026-09-05 08:29:02
0
To see more videos from user @master.codie, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About