@lijei_tza1: Mtanzania aliyeishi nchini Afrika Kusini tangu mwaka 1994 aliyejitambulisha kwa jina la Mzee Siri mzaliwa Wa Mkoa wa Tanga ameeleza kuwa amerejea nchini ila hajui nini cha kufanya. Aidha Mzee Siri ameomba Msaada kwa Watanzania waweze kumsaidia kwani umri wake kwa sasa umeenda akieleza kuwa anakaribia miaka 64

Lijei TzA👑
Lijei TzA👑
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 05 September 2026 02:24:47 GMT
28116
990
95
68

Music

Download

Comments

user4861707754481
fogo :
umeludi kufia nyumban
2026-09-05 03:41:35
12
majayden62
@cute :
nilikuwa sijazaliwa karudi kazeeka bila faida yoyote ni huzuni😳
2026-09-05 04:41:16
7
godfreymngoni
Ngonifaceless channel :
Mwalimu Nyerere alikuwa makini sana kusisitiza tushiriki kwenye ujamaa na kujitegemea, tumiliki ardhi, tufuge mifugo hauwezi kuumbuka kabisa
2026-09-05 04:12:32
10
zunuz..org
Zunuz Org :
kunakitu cha kujifunza vijana wenzangu hapo musishangae na kumkosoa tujifunze kwake tumepata somo hapo
2026-09-05 04:01:22
6
user4178760508393
dokta_mitishamba :
umerudishwa umerud
2026-09-05 04:27:51
4
hayek17
HAYEK🌹 :
hapo sijazaliwa
2026-09-05 04:09:24
2
mrsdavs8
Regina🦋😍 :
Jaman wangepewa ata mtaji kuliko kuja kuombaomba tena 🥺🥺🥺
2026-09-05 04:47:52
2
timefurniture_dodoma
TimeFurniture_Dodoma :
eeh ila south 👐 mmejua kutuharibia watu asee
2026-09-05 04:59:20
2
ashanti9566
ashanti :
kwani anaitaj mke mi nipo tayari uyo ndo sili wangu muniachie nilenae ujana
2026-09-05 04:34:51
3
swaum.ramadhan661
AZZA MOHAMED :
mzee wangu allah akufanyie wepes ukiensa tanga ndug wasikukatae ndug wazam hiz ni mtihan san
2026-09-05 04:12:43
3
mill.shey
mill shey💞 :
sijazaliwa nimezaliwa mbak nakaribia umr wa kutoa laan
2026-09-05 04:57:21
1
ommyfaa2
Sweety 👄Mellon🦅 🦅 :
Duuuh
2026-09-05 04:30:00
1
user4134529688061
user4134529688061 :
usikonde mjomba ni maisha tu
2026-09-05 05:18:34
0
momie914
Ms sitty 🦋 :
Aya mnajua km tulipigana wenyew kwa wenyew lkn🥹rudi tukuadisie
2026-09-05 05:17:35
0
jmarick5
jmarick5 :
Mwandishi banah, Eti huko Tanga ni maarufu kwa jina la Mzee siri, Tanga ipi sasa ya South Afrika??
2026-09-05 04:53:37
0
narmin.niroo7
Narmin Niroo :
ameondok mm nna miaka miwili sasa hivi nna miaka 33 uwiii
2026-09-05 05:17:44
0
jovinnacco1
Vins Wallpapers & Decor :
kasema sisi wenyewe vijana, Yeye ni kijana wa zamani, kwa sasa mwendo kashaumaliza
2026-09-05 04:15:14
1
usergeivan
Hb no 3 :
umri wangu
2026-09-05 03:49:05
0
mketoamketo
Big Mketo Tz :
tanga hajulikani kabisa
2026-09-05 05:11:37
0
hysam331
momo hynam💦💦 :
mm sijazaliwa kipind icho
2026-09-05 05:12:12
0
ubalozwamaxela
moro bike🇹🇿🇸🇸 :
kwaio ana 64
2026-09-05 05:18:13
0
piscesbright
pisces🤍 :
Daaaaah umri wangu
2026-09-05 05:19:26
0
hamza812311
coach hamza :
siri wapo ẁeng jamaa yangu anaitwa siri raxhid
2026-09-05 05:15:11
0
chetikingi
KD$ :
we ni kijana
2026-09-05 05:13:31
0
awadhmagulio
awadhmagulio :
sisi vijana ?
2026-09-05 03:56:09
0
To see more videos from user @lijei_tza1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About