@automatewithai_tz: #duet with @Marcin AI AGI — Artificial General Intelligence — ni aina ya AI inayolenga kuwa na uwezo wa kujifunza, kufikiri na kufanya tasks mbalimbali kama binadamu. Tofauti na AI ya kawaida inayofanya specific tasks, AGI inalenga kuwa general-purpose intelligence. 🚀 AGI inaweza kubadilisha kabisa jinsi tunavyofanya kazi, biashara na kujifunza. Je, Tanzania iko tayari kwa AGI? Follow @automatewithai_tz kwa elimu zaidi kuhusu AI. #AutomateWithAI #AGI #AITanzania #AIforAfrica