@lobitv122: Watafutaji wa Kitanzania waliokuwa africa kusini wakiwa kwenye ndege ya pamoja wakirejea Tanzania kwa msaada wa serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kutokana na machafuko yaliyotokea Africa kusini kwa raia wote wa kigeni kurudi katika nchi zao
tochi from deftly i know you [Tears of joy] i can see you 😉
2026-09-07 00:36:38
0
mil :
South kweli wako sahihi. Wamesalimika na matatizo
2026-09-05 07:03:26
73
da emmy😘 :
ukute nauli tunawalipia sisi
2026-09-05 09:00:25
15
Tiffah🧕🏼🤑🇹🇿🤎 :
mbna asilimia 98 wamechokaa
2026-09-05 07:10:01
16
Lommiez :
Haiendi popote imesambaaa 😂😂😂😂
2026-09-05 12:29:48
9
Muda Jr :
mngewaacha2 au selikali jalibuni kutafuta sehemu kwa ajili ya hawa watu kuish watengewe eneo lao
2026-09-05 14:22:36
21
user99624562421846 :
serekali hawa wangetafutiwa mji wao
2026-09-05 17:56:58
13
Shabir 2️⃣6️⃣ :
Hakuna hata mwema hapo
2026-09-05 07:59:12
13
mudrck :
nyumba za urithi zimeuzwa cement 26000 sijui itakuwaje
2026-09-05 14:44:25
14
Sifah 🇹🇿🇲🇶🇦🇪👐❤️ :
Watanga walienda wengi sana kipindi hicho
2026-09-05 07:37:46
9
Be smart always :
Mbon wote wazee jamani
2026-09-05 13:23:53
6
Zainab Dadi :
sasa wanarudi Hali hii kutakuwa salama kweli
2026-09-05 15:18:01
6
🌹 :
sasa awa walienda kufanya nni uko
2026-09-05 08:27:36
7
JEFF MASTER1 :
sisi tulioko nje ya nchi ndio tunaelewa thamani ya hiki serikali ilichofanya hayo mengine tuyaache aisee serikali imethamini raia wake nchi za watu ngumu sana pakichafuka raha ya kurudi nyumbani hata kama huna kitu nikubwa sana
2026-09-05 14:28:09
10
cutyledy :
mtumeee ndio kwanza nimenunua i phone 17 jana kuna usalama kweli hapa[Innocent][Innocent]
2026-09-06 16:57:06
7
DALALI_KIGAMBONI_MWEUSI1✅ :
daah ila jamaa wamechoka sana wangefikia ata kambi za kijeshi wapate mafunzo wakae sawa kwa kwelii,ingependeza sana💯
2026-09-06 11:08:11
8
Joy Malick :
Mama Samia jmn kazi anayo, nyie hao ndo vijana waliotoka South jmn. Watu watamlaumi huyu mama bure lkn vijana wenyewendo hao jmn
2026-09-05 11:10:39
8
Tatu Hamza :
duu ni uzuni Kwa kweli
2026-09-06 11:34:46
0
Zahor Mohammed :
kwa kifupi hapa serikali imebeba mzigo wa kugharamia wengi wao hawawezi chochote zaidi ya uhalifu na upusha
2026-09-06 16:28:22
5
reytorreslanda :
mmmmmmh tumeletewa balaa
2026-09-07 04:20:40
0
Kadiga Ali :
huyo alievaa mzula mweusi x wangu huyo
2026-09-05 20:52:53
0
fatmah :
kundi hili naweza bahatisha mume naona kidogo walionona wapo japo ni mmojammoja wale wa mwanzo dah
2026-09-07 06:46:54
1
jeniroooo :
tumekwishaa😔😔🙏na wanalud kw ndege
2026-09-05 12:13:10
3
Anifu🦅 :
Alikiba alikuwa mbele ya muda
2026-09-06 09:29:27
2
Sajda Adams :
Nauliza tu,how bad was the situation in S.A for Tanzanians,😳
2026-09-05 12:36:45
3
To see more videos from user @lobitv122, please go to the Tikwm
homepage.