@dande.deals: now that’s actually wild

handy dande deal finder 🤍
handy dande deal finder 🤍
Open In TikTok:
Region: US
Saturday 05 September 2026 05:21:17 GMT
46
2
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @dande.deals, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸 *SALA YA SAA TISA* 🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸 ✝️Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu. 🛐Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia. (Mara tatu) 👇👇👇👇👇👇👇 🛐🛐🛐🛐🛐🛐🛐 *ROZARI YA HURUMA YA MUNGU* 🛐🛐🛐🛐🛐🛐🛐 ✝Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Tumia chembe za rozari ya kawaida au Rozari ya Huruma ya Mungu   *🛐Sali Baba Yetu Mara x1*   Baba yetu, uliye mbinguni Jina lako litukuzwe, ufalme wako ufike, utakalo lifanyike duniani kama mbinguni. Utupe leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea. Usitutie kishawishini bali utuopoe maovuni. Amina.  *🛐Sali Salamu Maria Mara (1)*  Salam Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria mtakatifu mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu. Amina. 🛐Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba mbingu na dunia. Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu; aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria, akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu; siku ya tatu akafufuka katika wafu; akapaa mbinguni; amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi; toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa takatifu katoliki, ushirika wa Watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili, uzima wa milele. Amina.  *🛐Kila penye punje kubwa*  Baba wa Milele, ninakutolea Mwili na Damu, Roho na Umungu, wa Mwanao Mpenzi na Bwana wetu Yesu Kristo, kwa malipizi ya dhambi zetu, na za dunia nzima.  *🛐Kila penye punje ndogo*  : Kwa ajili ya mateso  yake makali..... Utuhurumie sisi na dunia nzima.  *🛐Mwisho wa Rozari*   *sali mara tatu (3)sala ifuatayo* :  Mungu Mtakatifu, Mtakatifu mwenye Enzi, Mtakatifu Usiyeweza kufa...... Utuhurumie sisi na dunia nzima. #prayer #rozary #catholicfaith #relatable #tiktoktanzania🇹🇿
🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸 *SALA YA SAA TISA* 🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸🩸 ✝️Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu. 🛐Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia. (Mara tatu) 👇👇👇👇👇👇👇 🛐🛐🛐🛐🛐🛐🛐 *ROZARI YA HURUMA YA MUNGU* 🛐🛐🛐🛐🛐🛐🛐 ✝Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Tumia chembe za rozari ya kawaida au Rozari ya Huruma ya Mungu *🛐Sali Baba Yetu Mara x1* Baba yetu, uliye mbinguni Jina lako litukuzwe, ufalme wako ufike, utakalo lifanyike duniani kama mbinguni. Utupe leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea. Usitutie kishawishini bali utuopoe maovuni. Amina. *🛐Sali Salamu Maria Mara (1)* Salam Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria mtakatifu mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu. Amina. 🛐Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba mbingu na dunia. Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu; aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria, akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu; siku ya tatu akafufuka katika wafu; akapaa mbinguni; amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi; toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa takatifu katoliki, ushirika wa Watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili, uzima wa milele. Amina. *🛐Kila penye punje kubwa* Baba wa Milele, ninakutolea Mwili na Damu, Roho na Umungu, wa Mwanao Mpenzi na Bwana wetu Yesu Kristo, kwa malipizi ya dhambi zetu, na za dunia nzima. *🛐Kila penye punje ndogo*  : Kwa ajili ya mateso yake makali..... Utuhurumie sisi na dunia nzima. *🛐Mwisho wa Rozari* *sali mara tatu (3)sala ifuatayo* :  Mungu Mtakatifu, Mtakatifu mwenye Enzi, Mtakatifu Usiyeweza kufa...... Utuhurumie sisi na dunia nzima. #prayer #rozary #catholicfaith #relatable #tiktoktanzania🇹🇿

About