@zaramoonlinetv: Muasisi wa BongoFlava Honors, Jongwe, amezungumzia hatua ya mwanamuziki 20 Percent kusaini rasmi mkataba kwa ajili ya kushiriki katika Season 4 ya BongoFlava Honors. Jongwe amesisitiza kuwa mafanikio ya 20 Percent mwaka 2011, ambapo alifanikiwa kushinda tuzo 5, hayakuwa bahati bali yalitokana na uwezo wake mkubwa wa kuimba. 🎤🔥 📅 Oktoba 30, 2026 📍 SuperDome, Masaki – Dar es Salaam #BongoFlavaHonors #20Percent #BongoFlava #ZaramoOnlineTV #habarizotezikohapa