Leo wa kwanza brother tusone na karata upo vizuri na mimi nakufatiliya sana karata kaka tujuwe kinachoendeleya🥰🥰🥰🙏🙏🙏
2026-09-05 07:46:32
5
amtee :
thank you sweetheart🙏
2026-09-05 10:04:32
3
user5550600620843 :
Na je anaetakiwa kuvunja laana za ukoo moja kwa moja ni lazima awe yule mwanzishaji?? Ama hata moja kati ya familia na mtu moja anaweza kuvunja kusaidia familia nzima??
2026-09-05 14:45:20
3
Marie :
asante kutufungua na kutuelewesha kielimu
2026-09-05 09:58:06
2
hadijaramadhani47 :
nimechukuwa namba na inakata tu kutoka hapana sasa utanisaidiaje
2026-09-05 13:51:44
3
baby gifts :
kaka mm nataka unisaidie namna yakutoka konye laana ya uko inatutesa sana
2026-09-05 14:13:56
1
gradness isaka ibrahim :
Mi naomba kujua natokaje kwenye mateso hayo maana baba angu alikua mtu wakuchinja
2026-09-05 15:56:32
1
Dickson Nyamkamka :
Naomba namba yako das
2026-09-05 13:48:59
1
Joselyne :
asante mungu akubarik
2026-09-05 15:16:20
1
Daniel.Black.Pappy100😎🤏 :
kwaiyo unamaanisha hamna mafanikio kwenye kuchinja au unamaanisha maisha tunayo ishi hamna haja ya kutoa sadaka 🤔
2026-09-05 13:10:37
1
ALONE :
Shukrani sana mwalimu 🙏
2026-09-05 10:11:28
2
user958759507481 :
Asante tunaomba utuelekeze na namna Bora ya kutoa sadaka bila kuchinja kiroho
2026-09-05 14:44:38
1
Ntihabose Duwa (DÉCOR) welder :
uzito wamaamuzi
2026-09-05 14:54:01
2
chillohcosmetics :
Leo nimekuelewa sana kaka na nimepata majibu yangu.. nilikuwa napanya sadaka ya kuchinja lkn kuna kipindi niliacha niliumwa sana lkn nilipochunguza nikaambiwa kuna kitu ulikuwa unafanya na umekiacha … aiseeee na sio mmi tu ni familia nzima
2026-09-05 15:52:07
0
user9815046834911 :
mi naona kama unatuchanganya tu mkuu watu wanataka uwaambie wanatokaje hapa walipo kwa sababu hayo unayoyasema ndio wanayo sasaivi wakati uliopo kama wazazi wao walitowa izo kafara za kuchinja wafanyaje kujitoa kwenye kadhia hizo
2026-09-05 14:42:53
1
marry :
kweli mie nabahati sana ubarikiwe sana ulimwengu ukutunze
2026-09-05 09:32:32
4
Viewers of the world 🧢🧢🌐 :
uzuri saivi Tuko kwenye new generation tutaelewana Tu Big up Sanaa 👍🏿🔥🔥🫵🏿 broo
2026-09-05 13:21:49
3
mnene :
Nakuelewa vyema kaka amiin nakufuatilia sana
2026-09-05 08:00:58
2
Msafi telly Salumu :
vizuri ...
2026-09-05 08:01:04
1
Am_godwayne :
Nimebaki na mshangao tu
2026-09-05 07:54:39
2
To see more videos from user @nguvuyarohoakili, please go to the Tikwm
homepage.