@mwenye.nchi: Huyu na mam ake mkubwa Bi msumi anadhani watanganyika hatujui kinachoendelea. Mara ooh ujombani, yote ni kujisafisha tu ila tunapajua mlikotoka

MWENYENCHI 🇹🇿🇹🇿
MWENYENCHI 🇹🇿🇹🇿
Open In TikTok:
Region: ZA
Saturday 05 September 2026 10:26:57 GMT
102511
2741
242
372

Music

Download

Comments

lucy.lyuki
Lucy Lyuki :
tumeona eh
2026-09-07 10:49:44
0
sabbirahmed69901
Sabbir Ibrahim :
Yeah...the constitution and the sovereignty of the Government can never be runned with the links of hypothesis from the roots of any kind...religious, tribalism, societies,and even political parties...😇
2026-09-06 06:34:18
0
user4703441420441
alice :
raisi mzanzibari makamu mzanzibari kweli 😳😳😳
2026-09-05 11:14:26
40
makubojr
Daniel :
Nyerere alikuwa mnafiki mkubwa matatizo yote ya sasa chanzo ni yeye.
2026-09-05 21:43:01
59
muayad604
👆 :
Mama samia mitano Tena.
2026-09-05 17:02:35
34
goligani22
goligani22 :
Shida ni Wazanzibari au Shida ni Waislam???
2026-09-05 14:04:37
30
user3007427113305
machano :
mbona Watanganyika wabaguzi ivoo raisi wa zanzibar mbona katoka huko huko 😭
2026-09-05 12:24:00
36
yahyer7
yahyer7 :
Next president❤️✅💯
2026-09-05 17:54:43
1
halimapalamba
me MP :
kumbe haya mambo ya Zanzibar na Tanganyika yameanza zamani
2026-09-05 17:25:32
21
danielmwita487
Nyang'ombe :
ila Mwalimu Hawa watu wa Zanzibar uliaribu sana kutuunganisha nao
2026-09-05 20:13:58
10
kahazi26
Kahazi26 :
sasa uislamu na uzanzibar unahusikaje hapa... hawa viongozi wana chuki kubwa na uislamu
2026-09-05 21:12:22
14
mimitzq2
white sky :
KWANN ULITUUNGANISHA NAO? KAMA VIPI KILAMTU IBAKI KWAO
2026-09-06 06:38:53
4
omar_muhsin2
Mr Mtu Kwetu :
kwani vazi km hili hajawahi kuvaa marehem magufuli jee kawa muislamu lini ? lkn musipotoshe viongozi wa Tanzania ni kawaida wakienda mazikoni au harisini inategemea wanaemwendea kule ni dini gani kwaio huvaa kulingana na mazingira yalivyo ni kawaida acha kupotosha
2026-09-05 15:42:55
12
elabdoul7
EL AbdouL :
dah, iLa ndugu Zetu Wa tanzania bara muna shids gn jmn. cc Tanzania sote ni moja 🥺
2026-09-07 08:22:09
1
sashamoney4
Sasha Money🌺 :
kama mwalimu alichoka ss tupo hoi uku baba na ao wazanzbar 🥲🥲
2026-09-05 18:13:13
0
gogirnadavid71
MDJ :
katiba yenyewe ya zaman inasema raisi akitoka tanganyika makamu zanzibar na kama raisi akitoka zanzibar basi makamu tanganyika inakuwaje raisi ni mzanzibar na makamu mzanzibar
2026-09-06 09:09:12
0
myaatwins
myaatwins :
Mungu ibarik Tanzania tuepushe na mahasidi wanaotaka nchi yetu iingie vitani Mwenyezi Mungu tupe nusra wauwane wenyewe!
2026-09-07 09:28:52
1
mauasadani
Mauasadani :
Watanganyika.wapo kimya.madarakani awasemii
2026-09-05 12:14:50
7
chesco.babloo4
Chesco Babloo :
TATIZO LIKO WAPI KWANI
2026-09-05 12:23:23
5
carafati
Arafat :
hapo nyerere alikua anawaonya watanganyika kuhusu kuwapiga vita wa Zanzibar na hapo ukimsikiliza vizuri alikua na nukuu vile watanganyika wakiongea kuhusu wazanzibar na alikemea vikali kauli kama hizo za kusema "tumechoka na wazanzibari"
2026-09-06 18:50:03
2
bandeke.john
Bandeke John :
(EE MUNGU IBARIKI TANZANIA).
2026-09-06 11:46:59
2
mclizzybeth
SHABIKI MAARUFU/ MTUMBA :
nyerere. alikuwa mbele ya mda sana🥰
2026-09-05 23:14:21
2
freemind751
freemind751 :
@freemind751:@freemind751:Kwani mzee alilazimishwa kuungana na zanzibar? Angebaki na Tanganyika yake akawaacha wazanzibar na zanzibar yao. Zanzibar ilikuwa ni nchi kamili yenye uchumi na utawala wao, zanzibar ilikuwepo na ingeendelea kuwepo hata kama tusingeungana
2026-09-05 17:44:09
1
popos.mixiologist
POPO'S MIXIOLOGIST (cocktail) :
Mzanzibar anashida gani kuiongoza bara, huo niubaguzi tu Mbona watanganyika wanaongoza pia wazanzibari, ukabila na udini wekeni pembeni tunacho hitaji nicmaendeleo yetu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na tutalisawazisha hilo kwenye katiba Mpya hii tulio iomba naiponjiani kuipitisha. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa nasisi tuwe namaendeleo Makubwa ya mapinduzi ya kiuchumi. Amin
2026-09-06 20:21:51
2
user4461193630279
Manazil abrary :
endeleeni na chuki zenu ila pia chadema mlisema ni ya wachaga
2026-09-06 16:12:06
2
To see more videos from user @mwenye.nchi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About