@kitaahakiozi: Walimu wa Kiafrika wana style yao ya kipekee ya kushughulika na wanafunzi Unakumbuka siku ukiwa shule, kosa dogo tu linageuka kuwa kesi kubwa? 😅 Ukiwa mwanafunzi, uliwahi kujifanya mjinga ili uepuke adhabu? 😂 👇 Taja tukio la shule ambalo huwezi kulisahau! #reelstrend #kitaahakiozi #MaishaYaShule #Wanafunzi #Kichekesho

Kitaa Hakiozi
Kitaa Hakiozi
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 05 September 2026 14:30:00 GMT
113663
7710
125
312

Music

Download

Comments

nicely1only
HB decor🖤🤍😘😚🤗💐 :
tulio soma shule za msingi karibu nyumba za walimu tunajua hii Hali😄😄😄
2026-09-05 18:41:34
49
wattemi431
Wattemi431 :
hii nimeipend siach kukupa like 😁😂
2026-09-05 18:33:01
12
abdunurusuleiman
Abdulnoor :
salute brother😁😁
2026-09-06 07:07:58
1
masongerasdaughter
unstoppable🤱 :
imeisha hiyoooo
2026-09-06 07:35:33
1
being_pricy
being_pricy :
haya ya kwel
2026-09-06 06:34:27
2
ama0404_tz
🎀ADIAT🎀 :
Shulen kwet hy mamaeeee
2026-09-06 04:42:34
1
user954153148
Suzy :
🤣nimekumbuka tulikuwa tunaagizwa hadi maharage
2026-09-06 05:42:05
1
leeluxestore
Leeluxe store :
😂😂😂😂😂Nachoka
2026-09-06 04:49:19
1
user72436106793885014484
mama wa wote 123 :
hujakosea
2026-09-05 18:46:46
5
aslammsangi
Aslam Msangi :
hahahahaa Yan nankwel kabsa daah yapohay
2026-09-05 16:39:45
5
user95202172496195
Robby Tiles :
Yani umepita me mle,
2026-09-05 17:36:33
5
bernadetha480
😘BernV🌺💫 :
😂 😆 😂 😆 afu kweliii
2026-09-05 19:33:18
3
am_audo1
am_audo🎤🇹🇿 :
😂😂😂😂😂 ila
2026-09-05 16:59:30
2
sidatywendo
Sidatywendo :
jaman kumbe walimu ndo munavyofanyaga hvy ndo malengo yenu au sio
2026-09-06 05:00:40
1
liliankisanga76
iconic man :
good
2026-09-05 18:25:21
1
daudikafulila
Daudi Kafulila :
unajua
2026-09-05 19:06:18
1
wailes.warod82815600
W@R0D wai*🌿🌿 :
hahaha🤣🤣🤣
2026-09-05 17:31:10
2
fubu95
fubu95 :
Mmh sio kweli sio Walimu wa Tanzania 😂
2026-09-05 18:26:14
2
young_trapper_tz
NTWARA ICON 🦍 :
kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la kusema maana hata mimi sielewi ndugu zangu..
2026-09-05 19:30:20
3
zuuhmbutuka
😻🐻momy Aiyman 🥳 :
San yapo
2026-09-05 16:47:49
2
user75203850201561
SAMIRA :
Mmh
2026-09-05 16:07:11
1
tamimuyahaya6
tamimuyahaya6 :
du🥰🥰🥰🥰
2026-09-06 09:02:14
0
mhaimina2
mhaimina :
unauwa sana
2026-09-06 09:14:51
0
user9244851256980
amyrat :
mh
2026-09-05 17:14:13
0
To see more videos from user @kitaahakiozi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About