@upsten_ajiral_portal: Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi 678 za ajira katika sekta mbalimbali zikiwemo Ualimu, Afya, Misitu, Mifugo, pamoja na kada nyingine katika MDAs na LGAs.Tazama tangazo kamili, soma sifa na masharti ya kuomba, kisha chukua hatua mapema.Fuatilia Upsten Ajira Portal kwa taarifa za ajira zinazotoka moja kwa moja na kwa wakati.#Ajira678 #ualimu #UpstenAjiraPortal #afya #viral

UPSTEN AJIRA PORTAL
UPSTEN AJIRA PORTAL
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 05 September 2026 13:28:13 GMT
155062
1855
93
730

Music

Download

Comments

rynertheophil
_.ryner._🇹🇿 :
aya sisi CO mnatuchukuliaje wanetu?
2026-09-05 20:13:11
19
abriellah4
Abriellah :
Medicatie attendant wapo??
2026-09-06 18:39:57
1
mariamurashidi925
Ryan's hj🍒🍇 :
Kwahy CO hatna soko au niende MD ushaur jmn
2026-09-06 14:13:39
2
kambimariamgmail
[email protected] :
mteknologia maabara 25😁😁
2026-09-06 06:27:58
2
798709maswai
@itsfeysway :
walimu wa business studies mtuone nasi😳
2026-09-06 04:44:41
2
ester_bosslady25
ester_bosslady25 :
Business Administration tunaenda wap jmnn😓😂🙌
2026-09-05 16:22:42
3
steve_kasawalah2510
Steve Kasawalah🥼 :
Lab nafasi 25,daaah acha niendelee kupambania hii 450k kwa mwezi🚶
2026-09-06 10:32:40
5
teefa.seeks.ilm
Just me🩵 :
pharm tech na bahati ni meyo hatunaga kabisa😅
2026-09-05 20:18:02
8
user4708178819025
maiya :
na Zanzibar pia tuombe au h
2026-09-06 11:41:42
1
theycallme_eddie
Dr. hans255 :
nafasi 678 wako siliaz kwel hawa
2026-09-05 19:45:30
2
sillelly4
Ms Sillely🌹✨ :
mshahara wa TGS C wanamaanisha nini?
2026-09-06 06:31:50
2
nifa.furaha
melveen.PM😻 :
mwezi Septembe? 😏au sio
2026-09-06 05:20:09
1
jamilextz
Pharm jamilah🔐♥️ :
Pharmacy amna
2026-09-05 17:19:23
5
djaa126
djaa♥️ :
naomba kuuliza mwandishi, Hivi hizi za ualimu wa hisabati ( mathematic) ni primary, o level au a level???
2026-09-05 18:53:41
2
phinnah127
phinnah12 :
je za social worker zipo.jmni
2026-09-08 10:34:41
1
faidhashabani995
Faidha Shabani :
tunaenda wpi kazi za mifugo
2026-09-08 09:32:06
1
aziz.magic.anta
Aziz magic anta :
ualim grade A waendelezewe ni maoni yangu
2026-09-05 20:47:09
3
faidhashabani995
Faidha Shabani :
kwa kazi za mifugo
2026-09-08 09:32:05
1
kaoneka_aj
[email protected] :
ma nurse wameisha kwenye database
2026-09-05 20:07:24
2
candypie26
🌹 hellen 🌹 :
Nasubiri ualimu history
2026-09-05 22:10:25
3
asherysaid141
ashery 💉💊 :
ngoja tu niende gulf sitaki mchezo mm kusumbuana akili
2026-09-06 19:10:03
2
mr.bjm
BARAKA MSOMBA :
sisi mawinga vip "procurement"😂
2026-09-06 07:18:02
2
geowise_
𝕎𝕚𝕤𝕖𝕕𝕣 🩺🦁 :
Hatimae Md tumefikiwa😂tuombe sas
2026-09-05 20:01:44
3
cutie.pie78409
Cutie pie🦋❣️ :
Ualimu Daraja la 3A tunaruhusiwa kuomba?
2026-09-06 08:44:24
2
evyshayo6
evy_shayo :
Rehabilitation health pia ni afya😌viungo tiba saidizi kazi hazitoki kbs
2026-09-06 04:59:23
1
To see more videos from user @upsten_ajiral_portal, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About