hawa wa scania wanadharau sana wanafikiri faw au howo hazitembei tunawatafuta kibampani fresh tu
2026-09-05 17:30:49
19
Mohamed Faraji Jr. :
ukipasuliwa mirror zungumzeni jamaa anaweza sema mm nalipa mirror yako ya faw na ww lipa mirror yangj ya xt tuone
2026-09-06 11:00:04
4
Merinyojr :
maelekezo mokoo chap
2026-09-06 03:46:47
3
abdallahTz :
wenzentu wa tank dharau sa
na
2026-09-06 18:24:36
1
neemamasala :
Ubaya gari sio ya hyo dereva utadili na Mwenye chumaa mambo mengne nibora kutafta siluhu kuliko ma tatzo angepiga picha garii suluhisho angepata nb kwenye jambo lolote tuwe na subraaaaa
2026-09-06 12:22:12
3
sinotrucker :
mbaya ni mbaya tuu
2026-09-06 06:11:04
1
DADDY AVIEL D14 :
uyo kakoroga acha akorogewe na yeye
2026-09-06 05:23:33
3
xxl founder :
ko unahisi mwenye kosa nani hapooo
2026-09-06 02:22:14
2
Ramadhani Muya :
yeye mbona alikua ana tembea hakuna uungwana hapo 🔥🔥🔥🔥
2026-09-08 17:41:19
1
MR 255 GP :
mm binafsi napenda kusema hakuna mtu huwa anapenda kumsababishia mwenzie matatizo ikitokea imekuwa hivo jaribu kuwa mpole matatizo ni mojawapo ya situation katika maisha usilipe ubaya kwa ubaya
2026-09-07 18:54:45
0
Mr Transpoter4 :
Hii safi nmeipenda ubaya ubaya
2026-09-06 11:20:28
3
AB.Mwana Mara tz🇹🇿 :
malipo DUNIANI mbinguni MAPUMZIKO
2026-09-06 07:37:02
1
Davy og :
saf sana dharau mbaya aisee
2026-09-06 04:40:22
2
power energy :
kiukweli usimuukumu mwenzako kwakosa ambalo unaaweza kulitenda
2026-09-06 06:21:58
3
Tom D :
Jamaa wa Scania amekosea kama alifatwa na hakuta suluhu apo imekwisha
2026-09-06 15:55:22
1
𝐰𝐚𝐤𝐮𝐭𝐨𝐛𝐨𝐚45🏆🎲 :
huo wema mi sina hat mm ningepasua
2026-09-06 05:20:12
1
SHEMTOI FINEST % :
Jamaa ametisha sana sio kila kitu unamuachea mungu kuna mengine tunaya mudu tu sio paka mungu 😂 %
2026-09-07 04:33:49
1
manunuwematruck 🚛💯 :
malipo apaapa 😂😂😂😂
2026-09-06 10:09:09
1
Michael :
atar ten xt ila jamaa kaleta zarau wap hii
2026-09-06 04:51:20
2
Ibrahim rassa :
watu wapo wengi wanakuletea matatizo wanakimbia jamaa alicho kifanya sawa wewe simama myamalize
2026-09-06 05:11:31
2
juma eduardo :
kuna jamaaa alipiga jiwe gali ya zambia volvo kisa kama iko tukamsema wakatutukana sana wakatangulia kufika isoka wakaanza kutuomba mchango tena tumsaidie atoke ndani walimkamata .Na yeye ndo alianza kugogwa, akili muhimu tusiwe wajinga wawili barabarani any way jamaa wa tank kakosea dogo kashindwa vumilia maumv
2026-09-06 14:38:19
1
masai boy :
Wajinaaa noma xaan huko mzee
2026-09-05 21:09:06
3
deokalinga :
hakuna cha Scania wala faw
Heshimianeni barabarani
ni kweli watu wa Scania road wananyodo sana
2026-09-06 03:45:59
2
Afisa usafirishaji manyara :
zarau ni mbaya sana unakiambia unaenda wapi
2026-09-06 05:16:42
1
To see more videos from user @bushbaby940, please go to the Tikwm
homepage.