Waulize na wajana [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-06 04:50:13
0
Adam Abraham9176 :
hold the steering with 2 hands... guy deserves to be in cells
2026-09-05 19:28:55
0
Musa Bubelwa :
anaweza asichati na ajali ikatokea,, uo ni umbea ,,
2026-09-05 17:58:03
64
Mr. Wilson☑️ :
good job
2026-09-06 02:14:12
0
Kadogoo decor :
Bora wewe umejari uzima wako
2026-09-05 19:18:45
12
Samwely venanc :
Kama mimi boda nachati sembues dereva wa gar
2026-09-05 19:42:54
13
Erasmi Mtui :
kumrekodi mtu bila ruhusa yake ni makosa pia so hakuna mkamilifu hapo
2026-09-05 20:38:22
7
Zayrat abaya😍 :
Mimi mtu akichati ama akiongea masim nakosa amani
2026-09-05 18:14:39
7
mkirya :
kuchati so tatizo kama IPO ipo2
2026-09-05 18:55:09
7
Frankly Mwakitego :
mh sasa dereva anakosa gani? hapo
2026-09-05 17:35:27
6
K I N G S O L O :
ata kurekodi mtu bila kujua ilo nalo ni kosa mkuu
2026-09-05 19:54:24
8
cngak :
Tunaomba polisi mchukue atua iwe fundisho kwa madereva wa mabasi na pia tunaomba muendelee kuwasimamisha na kuwakagua na kuwauliza abiria jinsi gani dereva walokuwa nae anaendeshaje gari tunapoteza ndugu zetu mara kwa mara kwa uzembe wa wawatu kama awa wasojua wajibu wao wakiwa barabarani.
2026-09-05 18:06:49
11
Peter Kitomari :
kuchat ni mbaya sana maana hapo inawezekana ni pisi yake imemkataa anabembeleza mawazo yakahama akapoteza making barabaran
2026-09-05 19:17:13
4
Deus Ernest :
Mtu anapokosea muda mwingine ukitumia lugha nzuri kumuelewesha nadhan anaweza kukuelewa lakini hata mimi naona si sawa kuchat lakin inatakiwa umuombe ila huwez ukamcommand dereva kama uko nyumban kwako au uko na mke wako et acha kuchat😂
2026-09-05 20:15:19
3
manka judy :
ila madereva wa ivi mm sitaki
2026-09-05 19:00:16
6
prince sangola :
nchi hii haiendeleei kwa sababu kila mtu polisi hakim nchi inawatu wa hovyoo wengi unamkuta mtu anakasimu kake gari sio yako jamaa anania mzr ila Sasa anajefanya yy pilisi anacheo
2026-09-06 03:43:05
1
Fundnlly :
siku hizi kakitu kifogo mtandaono m naona ni kiumbea tu ili iwejesasa
2026-09-05 21:16:03
1
jay j :
ishu sio kufukuzwa kazi iyo sio gari binafsi mkuu afanye ivo akiwa pekeake sijaona kosa la aliye mkosoa Sabab izo ni roho za watu
2026-09-05 20:56:38
5
Michael Mshiu :
kuendesha gari uku unachart ni makosa hayuko kwenye kundi la udereva bora
2026-09-05 22:51:44
1
Timotheo Ndimbo :
Maonyo yanahitaji busara kubwa sana
ukikosea unazaa tatizo kubwa zaidi
huyo anamwondolea dereva confidence na pia anamkwaza kwa kukosa busara ya muda sahihi wa kumuonya na sehemu gani na kwa namna gani
2026-09-05 21:47:19
0
gurubay :
hatua ichukuliwe
2026-09-05 19:24:46
2
BABALAO :
ndo maana zamani umri ilikuwa ni kigezo cha kupata leseni ya kuendesha bus😃
2026-09-05 19:07:03
3
amani :
Dereva kuendesha gari huku unachat huo ni uzembe kabisa
2026-09-05 18:40:36
3
ᎯℕℐЅℰᏆℐ ℕᎫℐᎶUℒᎯ :
hiyo ni basi hapo dereva ana makosa kibao kwanza ushonaji wake wa sterling
hajafunga mkanda
halafu yupo busy na simu yake halafu hana kauli nzuri kwa abiria
2026-09-05 20:14:20
4
To see more videos from user @lijei_tza1, please go to the Tikwm
homepage.