jaman wanawake wenzangu waume zetu wanapotoka kwenda kwenye shughuli zao tuwasafie nia na pia tuwaombee sana Dua hata kama imwtokea kukwazana ila Dua zetu kwao ni muhim sana Kwa sababu radhi ya mke ni zaid ya mama. yaallah wajaalie waume zetu na waume wa wenzetu wanapotoka basi allah uwafinike na rehma zako yarabby na wewe mume wangu nakuomba allah akupe afya njema na usalama allah akuvue na mitihan Kila unapopiga hatua yaallah urudi salama.
2026-09-06 05:15:16
94
Abby :
Matusi ndo imekuwa style ya kuongea, jitahidini acheni izo mmb
2026-09-05 18:27:22
49
rmoh26 :
ka over take uo mzee eh 😂
2026-09-05 20:19:49
2
❤️🩹💍khatib,seif🔐 :
hakukua na ulazima wa matusi bro
2026-09-05 18:11:01
25
Ummu Mohamed :
mnapenda matusi muwe na Adabu.
2026-09-05 18:19:45
11
allysley :
jamni jiangalien na matusi hayo sio sifa!!
2026-09-05 18:38:58
15
Runasa_89 :
ss ayo matusii ya nn kweny ajal km hiii agh mnashindwaa kujielewaa vijan bhn🙌
2026-09-06 04:28:57
13
MUKHTAR 🇨🇦🇹🇿 :
Sasa hayo Matusi ndio munawaombea hao waliopata Matatizo ama munawatukana kwa mitihani waliopata.
2026-09-06 03:37:28
4
nasria :
barabarani kuna mambo mengine hamuwezi yaona kwa macho ya kawaida
2026-09-05 19:07:23
6
🔐🥳😘🫂Mrs musley😘🥳🫂🔐 :
ujumbe wangu serikali yetu mapinduzi zanzibar tynaomba sie wanachi tunaokalia kwerekwe fuoni kuendee tunguu kote mpk round kote waweke taazabarabanj na cctv camera atakaendesha speed alipishwe faint yaTZSH=/2000000 kwenda juuuu
2026-09-06 09:53:28
5
@Safakh__12 :
wamepona., hakuna aliekufa bali injury tu
2026-09-05 18:20:39
5
JANJA. :
hii ni AI jamn sio kwli
2026-09-06 15:18:46
0
buthayna budda 👑🦋 :
Dahh
2026-09-05 19:04:10
2
bin issa ktchen dish :
matusi yana mchango gani hapo
2026-09-06 07:26:41
0
latifa :
Nilikuwepo kwenye gari nyengine,,ila gari yetu vioo vimevunjika mpk tunaondoka sisi hakuna aliekufa
2026-09-05 19:33:52
5
bint hadhir25 :
siku nyengine ukipost video toa sauti
2026-09-06 11:42:37
0
Hajira Ramadhani :
siku hizi zanzibar kuna ajali jamn daah ani wiki hiii nimeshuhudia ajali 4 mpk naogopa wallah
2026-09-06 07:24:58
0
BREEZZY 💙 😵💫 :
Mbona unatukana 😁😁
2026-09-06 13:17:22
0
Mjukusuleiman :
Asilimia kubwa ya madereva wa znz nikiwemo na mm ni wazembe rabda hizi fain zinaweza kupunguza hii hali
2026-09-06 15:32:15
0
bestalpha :
HII TABIA YA KUTUKANA TUNAPOTUMA VIDEO AU KUHADITHIA JAMBO TUWACHENI VIJANA WENZANGU.
2026-09-07 00:32:37
1
Ernest :
hii ajari ilikaa mpaka usiku, me narudi night bado naikuta na folen yake.