@mvita_fm: GAVANA NASSIR AONGOZA MATEMBEZI YA AMANI YA AMIDZI KUDZACHA MOMBASA NA WANAJAMII WA KIMIJIKENDA Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir hii leo ameungana na maelfu ya Wanajamii wa Kimijikenda katika Matembezi ya Amani ya AMIDZI Kudzacha kutoka uwanja wa Tononoka hadi Bustani la Mama Ngina Waterfront... Gavana alishiriki katika Kuzipiga Zana za Muziki wa Kabila ya Kimijikenda... Matembezi hayo yalimhenzi Shujaa Mekatilili wa menza ambaye alinda urithi wa urithi na Utamaduni wa Jamii ya Wamijikenda... Gavana ametoa wito kwa wanajamii waionee fahari Utamaduni wao hii ni kwa Kuendeleza Utamaduni huo hadi kwa Vijana ili uwaongozee Mustakabali Wao. Matembezi hayo yalihudhuriwa Pia na Wawakikishi wadi wa Maeneo wadi tofauti ikiwemo Amriya Juma Boy - Mwakilishi wadi wa Mjambere, Kisauni... #mwangawamvita #mvitafm

Mvita_fm
Mvita_fm
Open In TikTok:
Region: KE
Saturday 05 September 2026 16:50:26 GMT
1344
45
10
3

Music

Download

Comments

racy421
Racy :
wantam
2026-09-12 10:16:04
0
nash.beby.nash.be
Nash Beby Nash Beby 0712981972 :
tanarivar kwetu hajukuja jamani
2026-09-06 09:04:45
0
karanja8570
Mr fact :
tuna shida hii mombasa
2026-09-06 19:01:57
1
yaakub06
yaakub :
hayo ndio maendeleo yetu walalhy balaa viongozi wetu
2026-09-06 06:14:59
0
sumrayns22
user7924001743702 :
hawo washakuwa pamoja one term wote hawo
2026-09-06 21:40:22
0
awadh.ali8
Awadh Ali :
maliza Uwende
2026-09-16 08:35:43
0
aminibaya
Alameen :
onetam gavan abdullahswamad IHSHAAALLAH home asubuhi
2026-09-07 21:33:44
0
kaydee801
kaydee :
huu ndio ujinga wa sisi mijikenda
2026-09-09 11:48:01
0
jomba700
jomba :
ndio hivo wamijikenda mwadanganywa kila cku na hamuoni
2026-09-05 19:50:37
0
babaz395
babaz :
we want need mijikenda leaders not arabs
2026-09-06 09:18:47
0
To see more videos from user @mvita_fm, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About