yani wabongo bhanaaa, ...sasa siungetoa maelezo nini kinaendelea na nilini ili tukakuelewa ...!! 😳
2026-09-06 04:08:19
12
Hellen Valentine :
Acha bc kutupa presha ospitali bugando au bugando ipi
2026-09-05 22:40:05
23
ica.@.♥️ :
Mungu awasaidie
2026-09-05 22:25:21
10
mama pelin :
jamani wagonchwa
2026-09-05 23:33:01
3
Ibrahimu Wambura :
hilo naona ni eneo la bugando sio hispitol lakin
2026-09-06 03:23:31
5
isaacmayunga493 :
siyo kweli
picha ya mchana mnapost usiku huu
2026-09-06 00:27:28
9
user2268069756105 :
Hapo ni maeneo ya Hostel za wanafunzi na hapo waga panahifadhiwa thamani za zamani na pembeni waga kuna dampo wanachoma uchafu wala si hospital ingawa iko kwenye Compound moja ila kuna kaubali kidogo na Hospital kama 200 meters
2026-09-06 07:42:23
2
Kassim Kassim :
uuuuuuumh 🤔🤔🤔🤔
2026-09-05 23:23:54
1
penina :
nikweli
2026-09-05 22:09:34
1
Felisian Nestory :
siamini
2026-09-05 23:13:39
0
princess of god :
jamani Mungu tusaidie
2026-09-06 01:58:34
1
Merry Kidoti :
Nn tena na uko jaman
2026-09-05 22:49:37
2
white rhino safar guide🇮🇹 :
nn tena mungu wang😂😂😂😂kila siku hii nchi aiishi drama🙄🙄
2026-09-05 22:31:33
3
Eric cantona :
poleni sana 😢
2026-09-05 23:38:56
0
Witty Witiness :
ilikuwa jana,iyo😂😂
2026-09-06 04:31:10
1
AGRICULTURE DEALER🌱🥑 :
hizi media uchwala bhana hata hazitoi maelezo kamili ☺️
2026-09-06 05:18:59
1
official naah02 :
lini hii
2026-09-05 23:12:35
1
October 25🦋 :
mim niliona moshi tu
2026-09-06 00:43:08
1
Sabrina M Shabani Shabani :
ninitena
2026-09-05 22:24:44
1
𝗠𝗢𝗠𝗢𝗛 𝗡𝗨𝗧𝗥𝗜𝗧𝗜𝗢𝗡 :
90/90
2026-09-06 06:40:24
0
💫starn bakora🙏 :
sasa mbona unacheka
2026-09-06 07:14:10
0
Mamyto :
Ukiwa hauko sehem ya tukio unaona km ni uongo juzi jiran yangu kaunguliwa na nyumba saa 10 jion kumeteteketea kila kitu roho juu zilikua kwetu tunawaza moto ukitoka kwake unakuja kwetu 😢
2026-09-06 06:22:57
0
user66133309095484 :
lini
2026-09-06 06:40:48
0
𝐁𝐚𝐡𝐚𝐭𝐢 𝐋𝐚𝐬𝐭𝐛𝐨𝐫𝐧 :
duuh mungu awaponye
2026-09-06 08:55:20
0
Merry Samsoni :
mungu awasaidie
2026-09-05 22:40:25
0
To see more videos from user @mohamad.mohamad23612, please go to the Tikwm
homepage.