@soulradiant0: Dar es Salaam โ Leo, Septemba 6, 2026, imetimia miaka miwili tangu kifo cha ๐๐ฅ๐ข ๐๐จ๐ก๐๐ฆ๐๐ ๐๐ข๐๐๏ฝ, mtaalamu wa ๐๐๐ฆ๐๐ฌ๐ wa ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ข๐๐. Hata hivyo, hadi sasa majibu ya uchunguzi kuhusu tukio hilo bado hayajawekwa wazi, na ndugu, jamaa, na wanachama wa chama wanaendelea kusubiri haki. #AliKibao #CHADEMA #Tutakukumbuka #HakiKwaKibao #DemokrasiaTanzania
WincieTv
Region: TZ
Sunday 06 September 2026 10:34:48 GMT
Music
Download
Comments
thabitpilimo871 :
rest in peace ali kibao
2026-09-06 16:50:19
1
Rashid Mdaki :
rest easy daddy ๐ญ
2026-09-06 13:03:05
1
Nyabusani juma :
hivi pingu ni Mali ya serikali au ni Mali ya umma
2026-09-06 14:07:31
3
Fungile :
ccm hii
2026-09-06 13:33:47
1
muhsin wahida hussein :
na siku ambayo Siri zitakua wazi ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญitafika tu
2026-09-06 18:10:01
2
molongwe majile :
ivi Madaraka ni nini.
2026-09-06 15:01:35
1
user37966917661340 :
madaraka yanakufanya utoe uhai wa binadam mwenzako dunian tunapita ndugu zangu
2026-09-06 13:33:30
2
rosemose :
kweli mwanadam anakatili uhai wa mwenzie
2026-09-06 13:24:19
1
mkude evaristi :
hapo muuwaji halijichunguza
2026-09-06 13:34:38
0
Shenko bab :
Kila nafsi hitaonja umauti na malipo hapa hapa duniani
2026-09-06 20:50:11
0
Zahoro :
Rip ๐ mzee ccm
2026-09-06 21:45:55
0
Abduly salumu :
duh watumakatirii sana
2026-09-06 13:21:52
0
Tito Mbwilo :
aseee kwa kweli inauma sana
2026-09-06 17:18:06
1
ysha klp :
wanasaau kama duniani tunapita
2026-09-06 17:03:17
1
MSUVA FBM :
Mungu amlaze mahala pema peponi
2026-09-06 12:33:41
1
pascal pondelo :
mboe leo kama unaiona kripu hii unajisikiaje .
2026-09-06 15:33:56
2
user4041251722950 :
Mabasi ya Tashrifu nikiyaona Hadi napatwa kichefuchefu
2026-09-06 13:29:26
1
jumannesaidy :
๐ญ๐ญ
2026-09-06 14:03:02
1
coltildampemba :
๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ
2026-09-06 13:44:52
1
Arish .KJ :
๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ
2026-09-06 13:30:48
0
To see more videos from user @soulradiant0, please go to the Tikwm
homepage.