@kanikibrown: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Mhe. Paul Makonda, amechangia Shilingi milioni 10 katika harambee ya ujenzi wa Kanisa Kuu la Arusha, akisema mchango huo ni sehemu ya kumuunga mkono Waziri Mkuu pamoja na waumini katika kufanikisha ujenzi huo. Makonda amesema akiwa mwakilishi wa wananchi wa Arusha, anaona umuhimu wa kuunga mkono jitihada za maendeleo ya jamii na taasisi za dini, huku akimuomba Baba Askofu kuendelea kumuombea katika utekelezaji wa majukumu yake ya kulitumikia Taifa. Amesema anaamini kupitia ushirikiano wa viongozi, waumini na wananchi, ndoto ya kukamilisha ujenzi wa Kanisa Kuu la Arusha itatimia. 🔴Ukiwa na HABARI MPIGIE RIPOTA 0622732287 RIPOTA WA HABARI ZA MIKOANI ✍ @kaniki_brown #Ripotawahabarizamikoani #kanikibrown #WeweNiFamilia

Kaniki Brown
Kaniki Brown
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 06 September 2026 12:27:01 GMT
8567
162
7
7

Music

Download

Comments

jacobmwalituke3
jacobmwalituke3 :
mwamba namkubali sana
2026-09-06 13:09:33
0
user4425631520062
Hasheem Beimoja :
angeweka greda mafuta akwaruze izi barabara maana sio poa
2026-09-06 15:08:39
0
jutonyluvanda
jutonyluvanda :
kanisa gani hilo
2026-09-06 13:39:33
1
cleophace3gmail.co
Cleophace1stborn :
tunaomba harambee za ujenzi wa vituo vya afya
2026-09-06 12:50:16
0
sophia.kohe.mwilo7
Sophia kohe mwilo Kohe :
ubarikiwe naomba namimi spika za kanisa
2026-09-06 13:24:21
0
user7485257550226
mwakalinga :
makanisa nao wameiuwa kuwa biashara hiyo pesa ya damu ya October 29
2026-09-06 12:56:52
0
user24024190945116
user24024190945116 :
✅✅✅✅
2026-09-06 14:45:05
0
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About