Wewe ambaye umezoea kusema “nipo vizuri” wakati ndani yako unaumia, Mungu akuone leo. Akupatie amani ambayo pesa haiwezi kununua. Akufungulie njia ambayo akili yako haikuweza kuiona. Akurudishie kile kilichopotea na akupe kilicho bora zaidi. Na siku moja utasimulia ushuhuda wako na watu watashangaa waliposikia ulipotoka. Mungu hajamalizana na wewe bado.
2026-09-08 18:37:22
40
it's mery :
mungu awasaidie
2026-09-09 11:28:36
1
user4879050557915 :
Épargnés nous la mort seigneur
2026-09-06 18:30:00
23
user5460251943295 :
pole ni wapi
2026-09-07 07:17:30
15
Kebby Nshimbi :
wapi place
2026-09-08 14:48:54
1
Neema Grace :
Pole sn
2026-09-07 09:57:24
7
Binuru🥰 :
poleni
2026-09-08 13:59:56
1
jérémie 33:3 :
pole sana kbs
2026-09-07 09:36:52
8
Grace Nima :
dah jamani hata kama sina tabia ya kukomenti dah mungu ni wetu sote hili nalo limeniliza jamani poleni sn kwa yaliyotokea.🙏
2026-09-08 18:48:33
9
prophetesse sarah974171 :
Mungu utu oneye urma papa
2026-09-07 07:36:50
19
user86599876114990syana :
wapi apa
2026-09-09 12:52:48
1
officiallinah@08 :
huyo anaesema kwa jina la yesu ni mim🙏
2026-09-07 21:21:55
6
Nkulu Pascaline :
fatou iyo moto ni ya ni nini courent oubien pole sana kwaiyo djama depuis katanga