@rashidbattashy: RAIS MWINYI AFUNGUA HOTEL ILIYOGHARIMU BILIONI 132 - PWANI MCHANGANI ZANZIBAR ✍🏻 @rashidbattashy Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi @dr.hmwinyi ameahidi kuwa serikali itaendelea kuboresha miundombinu ili kuhakikisha inaimarisha ukuaji wa uwekezaji nchini Rais Mwinyi ameeleza hayo wakati akifungua moja ya hotel ya nyota tano ya @kappasenseszanzibar and @anayahotelszanzibar iliyokuwepo Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja Zanzibar Amesema hatua hizo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwepo kwa miundombinu mapya ya uboreshaji na uzalishaji wa nishati ya umeme, miundombinu ya barabara na miundombinu mengine Aidha amesema hatua hiyo pia inaongeza fursa za uzalishaji wa ajira kwa vijana ambapo mradi huo umetoa ajira zaidi ya mia tatu zikitoa kipaumbele kwa wananchi wa Zanzibar hasa wanaozunguka eneo la mradi huo Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar Mheshimiwa @shariffashariff amesema katika kipindi cha miaka 6 cha uongozi wa Rais Mwinyi, @zipazanzibar imesajilia zaidi ya miradi 600 ikiwa ni hatua kubwa katika kufungua uchumi wa Zanzibar Mradi wa hoteli hiyo unatajwa kugharimu Dola za Marekani Milioni 50 sawa na wastani wa shilingi za Kitanzania Bilioni 132 cc: @rashidbattashy

Rashid battashy
Rashid battashy
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 06 September 2026 16:23:30 GMT
45651
1702
51
185

Music

Download

Comments

borres630
borres :
Aiport speed 50 plus na folen plus traffic lights tutafik mapem kwel
2026-09-06 18:01:28
1
user145307859284
user145307859284 :
Allah nijaalie nipate pepo yako
2026-09-06 19:11:37
1
kiboko45
baker jr11 it self kiboko faml :
ntamuaminisha vp mjukuu wangu kwamba hiyo hotel nimeijenga Toka mwanzo mpaka imefika hapo
2026-09-06 17:55:45
10
sule08512
sule :
Congratulations mr President..🥰🥰👏
2026-09-06 19:18:50
0
mablo72
@mablo_t_one :
Mzeeeeeeee unatisha
2026-09-06 17:48:01
1
fmingo4
SAFFRON :
Tatizo mishahara ya hotel za tanzania ni mibovu mnooo
2026-09-06 17:05:44
14
zainabjosephat
mtoto wa mama zainab :
bora yeye ipo siku na mim nitajenga kama hii inshallah
2026-09-06 17:43:05
4
safaa.preloved
Safaa Pre-Loved :
ipo wap nije honeymoon 😂😂😂
2026-09-06 17:31:49
0
gamesim6
games :
watamuchukuwa mote
2026-09-06 18:07:46
2
user9241046230345
user9241046230345 :
kapa sens nimejenga mwanzo mwishoo pesaa ipooo
2026-09-06 18:35:29
1
saadillah6
saadillah :
yake iyooo🤣🤣aizindue tuuu 🥰🥰mungu atuekee raisi wetu kipenzi
2026-09-06 19:39:59
0
gabi.lugira
gabi lugira :
mbona husemi ni hotel gani...?? unaboa bhana. sema ni hotel gani na iko zanzibar wapi..???
2026-09-06 18:10:02
0
tylatz
shamylife🦋 :
iyo leo iyo
2026-09-06 19:50:20
0
shekhani.lidas
Mr. Transaction💫💸 :
Iliyopo kwa mtuluki au😳
2026-09-06 19:48:02
0
user7347230313868
tendeni ibada :
tilafiki wana tafuta nini
2026-09-06 19:32:39
0
erick.mkwetu
Erick Mkwetu :
Watu wanafanya mambo kimyakimya🤝🤝
2026-09-06 19:31:22
0
rajabzanzibar26
rajabzanzibar :
sio kweli kabisaa, wafanya kazi asilimia mia moja ni watanganyika
2026-09-06 19:36:19
0
fmingo4
SAFFRON :
Na wafanyakazi hawafaidiki na chochote
2026-09-06 17:05:44
1
quran_zanzibar
Idris :
mazingira Bora na rafika waweke visa free kwa nchi zote Duniani tutapata wageni wengi
2026-09-06 17:10:39
0
sachuiddy
sachuiddy :
namuona boss wangu Aftab GM msela kapoa ingia kumi na nane zake sasa
2026-09-06 18:53:37
0
daud.tetere
Daud Tetere :
hizo camera 📷
2026-09-06 19:54:15
0
user7347230313868
tendeni ibada :
kwa arii kama hii deni lanchi linaweza kukata
2026-09-06 19:32:26
0
r.harnilu_06
🦋🦋..lalu...🦋🦋 :
ivii watu pesa wanatoa wapi mbona mmi nishajaribu kuitafuta Bilion 1
2026-09-06 19:04:32
0
dullabigboy
dully :
Tunaomba na matuta yapunguzwe uko kaskazini, mtu akifuga kuku tu anaweka tuta barabarani
2026-09-06 19:17:21
0
sureboynasir
Sureboy Nassir :
hotel ni yetu sote io
2026-09-06 19:23:14
0
To see more videos from user @rashidbattashy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About