Mm si msomi lkn BWANA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)amesema hakuna madhambi makubwa km madhambi ya nafsi na hayo madhambi yenyewe ni CHUKI,KEJELI,DHARAU,KIBRI,KUJIONA NA MENGINE KAMA HAYO....,,M/MUNGU atuondoshee na atuepushe na madhambi mengine kama hayo....!!
2026-09-07 14:38:02
14
SUMADO.MAFEKECHE ๐ค :
ndio maulidi didaa
2026-09-07 11:27:07
1
Khamis Seif :
Ivi Ile din ambayo mtume Muhammad S. A. W) alio sema imekamilika na haina haja ya nyongeza na maulid yalekuemo katika iyo din au mnaamini icho mnacho kifanya pia kinafaa kwenye din jib naomb ili tuelew kwa wote๐
2026-09-12 03:48:31
0
manyota :
Wacha kueneza chuki bachu aliomba msamaha kwakutupa kitabu
2026-09-06 18:21:58
3
ุนู ุฑุงู ุจูุฏุง :
ุงูููู ุตู ูุณูู ุนูู ุณูุฏูุงู ุญู ุฏ
2026-09-16 06:16:52
0
๐ Alpha ๐ Maneroo ๐ :
bachu ๐ sahihi
2026-09-15 16:39:11
1
faridaally19 :
maulidi haifaa
2026-09-08 12:10:17
0
Sแดแดแดแด Zแดแดแดษดษช Sแดแดสแดแดข :
Ibada yoyote ni haram isipokuwa iliyoamrishwa. Maulid ni ibada? yameamrishwa?
2026-09-09 03:19:13
0
swaleh afzal :
Maulidi tutasomaaa
2026-09-11 02:49:00
2
Aminkhal :
Nitasoma maulid had mwish wa dunia nafat kile ambach moyo wangu una amini kwa sabb hakuna aya ilio sema tunakosea na ninav jua mm maulid nikutaj mtume na swifa zake
2026-09-07 22:59:48
7
hamiss :
tutasomaaulidi mwanzo mpak mwisho
2026-09-14 21:00:35
0
HEART OF QUR AN :
Acheni kubishana Nyote ni waislamu kwahiy kila 1 a amini upande wake
2026-09-09 05:11:15
2
sureishy :
Sana Sisi na mtume mtume na Sisi
2026-09-11 17:28:40
0
Mada zitoz :
maulidi ni yamtume tutayasima hatuwezi kuyawacha cc na mtume mtume na sisis ๐ฅฐ
Shekh umezungumza vizuri ila mwisho n ww umetusi je n sahihi?
2026-09-06 20:06:40
0
YASSIN ATHUMAN MONGO :
nawaomba mashekhe zetu mukae pamoja muyazungumze aya mamb yaishe mulekezezne bas muendelee nasafar ii ss mamaamuma wenu wanafgunz wenu muna tupa ukakas jamajn tunawapend san na tunaipenda din yetu na tunapend kuskilza dalasa lenu sasa tunawaomba achen chki tupendne kwa ajir ya allah wote ni waja wa allah ss
2026-09-07 13:05:18
1
ุตูุงุฉ -๐ฅฐ :
tushikane Kwa kamba ya mweyezi mungu ,,,
2026-09-09 09:24:39
0
abduljabarabdulja16 :
mwenyezi mungu alete maslah na ufahamu kati yao Al Muslim akhul Muslim tukitafoutiana turudi kwa Quran na Hadith
2026-09-08 16:32:50
0
Mussa Hoseni :
kilekitabu tuambie maulidi hyanashida tuambie kuhusu kitabu hakinabatili kweli
2026-09-15 17:23:15
0
mohamed mtanzania :
kama anaogopa Kwa nn asiambiwe na tatizo hatupendi kujifuza bali ni kukatirishwa na katika dini tumeambiwa tukihitilifiana twende kwenye Quran na Hadith full stop
2026-09-16 02:21:19
0
tozaomar :
lakadh kana lakum fi rasulillahi husuwan hasana na apa mtume alikuwa kihadh
2026-09-09 06:44:24
0
HAFIDH Bastian :
Kusherekea kw kuzaliw. muhammad s.a.w si vibay. kumsalia mtume. kw siku yake si vibaya. bali musiend kinyume. na hayo.
2026-09-10 05:24:55
0
user7612505362492 :
Cor an na Sunna ndio maagizo ya Mtume swala llahu waa alihi wa ssalam ikiwa khtlafu kubwa ni Maulid tuangalie Mtume katuhusia ama Maswahaba walisheherekea Maulid so apo tuyafuate laa ikiwa sio hivyo tuko upande gani???
2026-09-07 11:05:19
0
To see more videos from user @dhakii.online.tv, please go to the Tikwm
homepage.