@uvccm_tz: *HODI MBEYA, MWENYEKITI UVCCM KAWAIDA ANAKUJA* Ni ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM, Ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika mkoa wa Mbeya kuanzia tarehe 07 Septemba 2026 akifuatilia uhai wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuzungumza na makundi ya Vijana, kuwatembelea wanufaika wa mikopo ya Serikali na kusikiliza changamoto mbalimbali za Wananchi ili kuzifikisha sehemu husika. Mbeya ni zamu yetu, karibu Ndugu Kawaida

UVCCM TAIFA
UVCCM TAIFA
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 06 September 2026 18:24:44 GMT
12
3
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @uvccm_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About