@frankmavura: Kusalitiwa na mtu uliyemwamini zaidi ni moja ya maumivu makubwa katika maisha. Unapompa mtu moyo wako, siri zako, imani yako na nafasi ya kuwa sehemu muhimu ya maisha yako, usaliti wake unaweza kukuumiza zaidi kuliko ulivyotarajia. Lakini kumbuka: usaliti wa mtu mwingine haupunguzi thamani yako. Wakati mwingine watu tunaowaamini zaidi ndio hutufundisha somo kubwa kuhusu mipaka, kujiheshimu na kuchagua watu wa kuwaweka karibu nasi. Usijilaumu kwa kuwa uliamini. Kuamini si ujinga; kutumia vibaya imani ya mtu ndiyo tatizo. Jifunze, jiponye, weka mipaka na endelea mbele. #usaliti #maumivu #mahusiano #swahilitiktok #frankmavura
It’s hard to believe and it’s hard to forget 😂😂😂🙌🙌🙌
2026-09-07 14:12:57
2
🍒Muuh~mamy🌸🍒 :
Inaumaaa sanaaaa sanaaaaa sanaaaaa
2026-09-07 08:34:27
10
Jasmine the Boss chic :
My story
2026-09-07 08:28:41
3
user6833261034966 :
natafuta rafiki niko mpweke jamani
2026-09-07 18:12:29
2
P mchina :
Achaaaa tu
2026-09-07 15:12:59
1
NeyBrayson🥰👩🏻🦰 :
Woiiiii weeee woiiiii weeee woiiii weeeh 😭😭😭😭😭😭 uwiiiiiiiiiii nyieeeee nyieeee acheeeeniiiii nalaaani sk aliyokuja duniani
2026-09-07 21:27:19
1
hamisashaban5 :
yaani kaka we Acha tuu!!!
2026-09-07 12:47:40
1
December 16♐️ :
Mm mbona nachnganyikiwa😭😭🙌🏼
2026-09-07 12:01:42
1
rabby :
🙌🏻💔sanaaaaa
2026-09-07 16:21:42
2
Mk :
kakaupo sahihi
2026-09-07 09:16:29
1
Imma hinnah :
yaan kaka umenigusa ndipo sitaki kukumbuka Maan najarib kusahau ila nimepata maumivu makali hadi nimepata shambulio la moyo kwa mawazo
2026-09-07 12:05:10
1
Mxanya Jerome :
2026-09-07 04:11:03
1
MR DOUGLAS :
exactly 🖤
2026-09-07 08:16:38
1
Jay home store :
absolutely
2026-09-07 04:48:06
1
Winie♥️🤍🩵 :
kweli
2026-09-07 08:09:59
1
yshermicky :
Alafu it’s better akusaliti na mtu Mmoja but unakuta kumbe Ana msululu wa kutosha 😂😂 anakudanganya Huyu ni jamaa yangu kumbe manzi yake 🙌🙌 it’s pain sana but all in all unatakiwa uhill for your better health
2026-09-07 14:16:30
3
I Seven% :
nikweli kabisa
2026-09-07 04:26:33
2
_sásti47🐰✨ :
in top 4 following ww upo mkuu✊💪
2026-09-07 07:44:18
1
Mary@beauty :
yani Mimi ndo kabsaaa nilikuwa namuamini mnooo yooo nilichokutana nacho ni blaaa tupu 💔
2026-09-08 12:50:44
0
prince Dan 👑 :
ukweli
2026-09-08 19:40:24
0
Yuu_stylist :
Kabisa
2026-09-08 15:42:52
0
Jipende mwenyewe :
Mimi ni muhamga bro nabado ninamsongo sana nimekonda kama paka mzee
2026-09-09 04:59:38
0
sophiageorgeuhahu :
Nimeshaacha kuamini mtu mimi
2026-09-07 14:04:49
2
To see more videos from user @frankmavura, please go to the Tikwm
homepage.