@shekh.rasi:

Shekh Rasi
Shekh Rasi
Open In TikTok:
Region: KE
Monday 07 September 2026 05:07:16 GMT
17876
972
118
62

Music

Download

Comments

bariz.bariz21
Habib bariz :
MAASHALLAH HUYU NDIO SHEIKH WETU MUHAMMAD BACHU 😂😂😂
2026-09-07 07:16:58
28
abdulkujaa4
abdulkujaa4 :
Aya ya Adhuhuri rakaa nne iko wapi
2026-09-07 12:09:08
3
alisharif5332
%suparster% :
asanteee
2026-09-07 11:10:36
1
alfarouq242
m.l :
katika misingi ya fiqh Ibada yoyote ni haramu mpka kuwe na uthibitisho wa uhalali wake ndo inafanyika na chakula chochote ni halali mpka kuwe na uthibitisho juu ya uharamu wake
2026-09-07 14:59:28
7
alhamdulillah32876
Alhamdulillah :
speaker za msikitini mbona wazitumia
2026-09-07 15:06:55
1
mcsuma
bin uther imin :
mtume ameshiria kwasababu amesema jiepusheni na uzushi katika dini uzushi mtume alio sema ni haya mailid
2026-09-07 11:22:37
6
akili.kubwa2
Akili kubwa :
Inna llaha wamalaikatahu yuswalluuna allah nabiy , yaa ayuha lladhina amanu swallu alaihi wasallimu taslima
2026-09-07 11:54:21
2
user2590058607984
أبو خالد :
na aya inayo sema maulidi ni halili ipo wapi
2026-09-07 18:35:46
1
rashidhabibu493
Rashid Habibu :
sasa uswali uweke 4kwani hatykufundishwa namna ya kuswali ukieka four itakua umefanya BIDAA Kwa sababu tushafahamishwa
2026-09-07 11:23:14
4
kassimali2362
kaseem :
kwani maulidi ni ibada au sherehe tu zakumsifu mtume
2026-09-07 12:53:29
1
hon3yfer
Hk :
Huenda ni kweli ila sheikh mwenye mamlaka ya kuharamisha ni allah pekee weye neno zuri ni useme Haifai maulidi ni si kusema haramu
2026-09-07 14:20:43
3
khamisomar12
khamisomar614 :
anasema hakuna hadithi wala qur an inayosema maulidi ni kharamu ilo ndo jibu sahihi yaliobakia ni maoni yake binafsi sisi tunafuata qur an na hadithi ikiwa haijasema ni kharumu tunakubali
2026-09-07 11:57:15
3
kaka_puti
KaKa Puti :
Mfano wake wa swala kakosea kwasababu tayari kuna maelekezo namna ya kuswali
2026-09-07 14:45:12
1
hamisinalinga630
Hamisi Nalinga :
huyu kumbe mtoto wa sheikh bachu maashaAllah
2026-09-07 09:12:51
2
idrees.ally
Mr kim :
aaah nacho mbn leo unaniangusha Kwa hoja Zako unazoweka
2026-09-07 11:54:03
1
saidahmed50116
said :
hakuna dalili Kwa sababu hayapo
2026-09-07 11:14:01
2
joe_tizo
joë t :
Ndo kwanza leo kaongea jambo zuri
2026-09-07 13:22:52
2
shaabanherman
shaaban :
Maneno ghali sana, ALLAH akuhifadhi sheikh
2026-09-07 14:49:47
3
kanunisaid
kanunisaid :
leo ndio jamaa kaonekana ana akili Sasa maulidi hayaja haramishwa alafu unatoa mfano wa swala ambayo zipo taratibu zake za swala
2026-09-07 12:51:54
1
buhari_masudi
Buhari_Masudi85 :
duh Hawa mabwana Wana soma elimu ya usuli fiqhi kweli dah, sio kila jambo Lina tajwa kwa jina kwenye Quran Wala hadith ya mtume Ili ulipe hukmu kua Haram hizi bidaa na sheria mpya kwenye dini, mfano wapi mairungi IME tajwa kwenye hadith Wala ayat ya Quran ... elimu na uadilifu ni muhimu sana kwenye dini
2026-09-07 16:38:30
1
haroun.rasheed5
Haroun rasheed :
sadaktaaa
2026-09-07 11:06:23
1
ferekhamis
fere khamis :
Dah 😅🤣 jmn tusome
2026-09-07 19:33:30
0
user5287311459702
omi11 :
Maulidi someni vzr kama kawaida yasomwe t mana ndo alau wengne wanapata kumbukumbu nzr ya mtume SAW
2026-09-07 20:26:21
0
re_moon001
moon :
sasa kama maulidi si haramu mnapinga nn?
2026-09-07 20:16:40
0
itara.twalaha
Itara Twalaha :
kwan mtume alielimisha tiktok
2026-09-07 20:06:54
0
To see more videos from user @shekh.rasi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About