hizo ni no test nyingi ni mbovu na gharama zake zakutengeneza ni kubwa. swali lakujiyluliza kama mchina amekuuzia mbovu wakati watengenezaji wapo yeye sio mjinga. hivyo hao wanaonunua wakifika kwa mafundi wanaweka vioo copy,mabattery copy yan hizo ndo refurbished promax kuzima ni sekunde. na simu og china hasa iphone,samsung na simu nyingi ambazo sio brand kubwa ya china ni ghali ukitaka genuine ilabukitaka hizo refurbishe za vifaa copy bei ni cheap.
2026-09-07 11:42:54
36
God first 🙏 :
naomba whatsapp number yako
2026-09-07 17:46:10
0
Chiza :
The best informative video ever👏🙌🔥
2026-09-07 16:13:55
0
ᥫ᭡🇺🇸 :
Ndo maan sinnui simu bongo😂
2026-09-07 12:19:40
15
Ley_beautfulscents🔥 :
Tumeisha
2026-09-07 13:36:39
1
Salim Yusuf Ahmed :
Hapa bi Dashatou ?
2026-09-07 13:27:05
1
merlin jr :
mmh mmh.. kaka mimi nipo Beijing..ntapata wapi cm
2026-09-07 09:15:17
3
BestPrince 👑✓ :
Kwa hiyo hao wote hawawez kutoa icloud😳🥺
2026-09-07 15:42:08
5
Tammy Salum :
Nunueni Infinix tu haya yote hamna😅
2026-09-07 18:41:20
1
Adam Ngomoy :
full box NI mlimani Tu 🤣🤣
2026-09-07 18:15:16
3
MR QUALITY BEI CHEE📍 :
duh huku milioni mbili unanunua simu moja
2026-09-07 08:07:05
8
Leo :
Nyie bongo tunapigwa jmn kah yaan kitu kinanunuliwa used inatengenezwa kinakuwa kipya kinawekwa kwenye box kinakuwa slid alafu unauziwa 1 Mil 3 na anakwambia ni full box😂😂
2026-09-07 16:48:50
2
MONEY TALK :
ndo KC anachukua hukoo
2026-09-07 12:55:10
2
Empire Tech 🉑️ :
Sawa, Return utaziweza mwanetu 😁
2026-09-07 09:33:36
4
M̷r̷ :
watching on my refurbished phone
2026-09-07 12:26:00
4
frank haule :
hahahahaa
2026-09-07 12:56:43
1
To see more videos from user @director_chris92, please go to the Tikwm
homepage.