@habaria_afrika: Hii habari was 100%. Sikutaka kui-confirm at the time maana niliona ni kama nitakuwa namsaidia Mwigulu. Na niwaambie tu Katambi nae atatumika kufanya ushenzi anaoufanya kwa Watanganyika wenzie, wakishamaliza kumtumia mtaona kitakachomkuta na tukubaliane mapema hakuna Mtanganyika kufungua mdomo siku Katambi atakapopotezwa na kina Abdul. Useful idiots!!!!! Na walitaka kummaliza akiwa Europe ili isionekane ni wao wamefanya ili waseme ni mabeberu wanataka ku-destabilize nchi. - Ameandika Mange Kimambi kwenye mtandao wa X.

habaria_afrika
habaria_afrika
Open In TikTok:
Region: CA
Monday 07 September 2026 07:34:57 GMT
144812
2606
67
94

Music

Download

Comments

santanyota
santana :
tangu nzaliwe sijajua kaz ya jesh ni nn
2026-09-07 09:16:55
59
mrprank66
mr prank :
picha ya mwaka
2026-09-07 10:42:16
34
vivihoney_26
vee 🦋 :
hawa CCM kwann wanauana??😂 mbn wananchi wamewaachia wafanye wanavotaka, wamemove on na maisha yao
2026-09-07 08:39:00
33
likiiboympole
Øfficially likiibøy Mpøle✌️🎬 :
Game changes 🥰🥰 political science we peleka moto 🥰🥰🥰 wapelekee moto 🥰🥰🥰 wameanza kutoana maini🥰🥰🥰 wapelekee moto wameanza kufukuzana uanachama🥰🥰 karibuni ukonga🥰🥰🥰 habari za kunitembelea gerezani usiku sitaki 🥰🥰 kama mtu ananipenda aje hapa mahakamani kuniona🥰🥰🥰 mpaka tuje tumalize mtakuwa mmechoka sana🥰🥰🥰 neno kukinukisha kwa mujibu wa sheria za tazania waeleze majaji ilikuwa inaashilia nini🥰🥰🥰 john mnyika ililenga kupambana naserikali juu ya uvunjifu wa sheria za uchaguzi 🥰🥰🥰 Katuga waeleze majaji je kauli hii ililenga kuvuruga uchaguzi 🥰🥰🥰 mnyika ni kweli kabisa ililenga kupinga uvunjifu wa sheria za uchaguzi ambao umekuwa unafanywa na serikali 🥰🥰🥰 Katuga waeleze waheshimiwa majaji ni nani alichapisha habari hizo 🥰🥰🥰🥰John mnyika ni waandishi wa jambo tv🥰🥰🥰 Katuga inaonekana wewe ni mjuaji kweli 🥰🥰🥰🥰John mnyika ndiyo tena ni mjuaji haswa na kweli kweli ni mjuaji kuliko wewe na Boss wako🥰🥰🥰Katuga naona muda umekwenda naomba tuahirishe tuwaachie kwa usalama wa barabara naona muda umeenda 🥰🥰🥰🥰 Mh Lissu anaulizwa na Jaji upande wa mshitakiwa unasemaje🥰🥰🥰 Lissu anajibu Sawa sina pingamizi 🥰🥰🥰🥰 Lissu ananyoosha mkono wake juu na kushangilia kisha anasema nimewamiss uraiani vp mmewambia watanzia namna nilivyo amiss 🥰🥰🥰 Lissu soon Iwill be back🥰🥰 Lissu yataisha tu🥰🥰🥰 Lissu anauliza ni nani anaesema Heche ndiyo anafanya mimi nakwama gerezani🥰🥰Wananchi wanacheka🥰🥰🥰 kisha Lissu anasema Mimi sina hatia siku zote wenye hatia ndiyo huwa wanakuwa waoga 🥰🥰🥰🥰 mimi sina hatia tena wambieni wakome🥰🥰🥰 Lissu kisha anasema Mimi nipo tayari kukaa gerezani hata kama ni miaka 10🥰🥰🥰 Kisha anasema mpaka haki itakapopatikana🥰🥰🥰kisha anawahimiza askari magereza jamani tuondokeni twendeni kisha anawaaga wanachama na wananchi kwa kishimdo xha kunyoosha mkono juu kwa ubabe wa sheria kichwani🥰🥰🥰🥰 Imeisha hiyo hivi kwa akili ya mh Lissu na mambo anayofanyiwa kwa akili ya kawaida wale mnaochunguza kesi ya kupigwa kwake risasi nado hamjagundua mfano mzuri alishambuliwa kwa lisasi lakini Mungu hakukubali kabisa roho yake itoke Mungu akasema ni bora Mja wanguapate ulemavu wakudumu ila stoitoa roho ya
2026-09-07 08:41:51
9
idrissamohamed16
idrissamohamed16 :
Uchonganishi Unauweza Ila Mungu Hayuko Pamoja Nawe Jiandae Kupokea Vipigo Vya Mungu
2026-09-07 08:29:02
14
barriss20
Barriss :
ahaaaaaaaaaahaaaaaaaaaa mbona raha
2026-09-07 11:35:00
0
dundukamadunduka
dunduka madunduka :
hivi hili bunge kwa nini lisipige kura ya kutokuwa na imani na Samia,kweli Watanganyikanyika tunakubali kutawaliwa na wazanzibar ?ni uoga au ndo kila mtu awahi chake!
2026-09-07 08:37:37
8
longino.bwanchuju
Longino Bwanchuju :
makubwa
2026-09-07 08:16:25
3
asnathsamwel
asnathsamwel :
Mungu 😭😭😭😭😭😭😭
2026-09-07 11:32:52
2
braytonnorobeth1
braytonnorobeth1 :
Jamani m yangu macho tu. kikubwa nashukuru mungu ndani nimehemea debe la dagaa zamwanza watoto wanakula
2026-09-07 08:57:48
2
emilianindungulug
[email protected] :
matukio nimengi Tanzania majeshi likokimya
2026-09-07 11:35:07
0
ms.neyoh
NEEMA YOHANA :
Duuh
2026-09-07 13:43:59
0
gracenasho6
Grace :
Aiseeee jamani shida hipo wapi eeeh Mungu
2026-09-07 08:22:27
0
salmini_msafi
salmini_msafi :
ipo siku Doumbia atafunga
2026-09-07 10:54:52
0
ftemba4
Temba :
inaumiza tunatawaliwa vile watakavyo badala waiingilie kati hali sio swar
2026-09-07 11:32:44
0
massawestella
Stella massawe :
najua haiwahusu lakin Jana nilienda kusali🙏🙏
2026-09-07 10:17:11
0
user4374807786661
tiktok :
Ndo nini sijaelewa
2026-09-07 12:00:47
0
rhodarobart
rhodarobart :
tumeshachoka dram zenu tushushien bei ya mafuta tutoke kutafuta ugali wa watot wetu
2026-09-07 09:27:29
7
user4188031441508
DANIEL.. :
ok
2026-09-07 09:00:50
0
ftemba4
Temba :
kwani kazi jeshi mbona sioni umuhimu wowote wapo tu kama wapo
2026-09-07 11:32:06
0
gemmagenhousebeauty
Gemma_house-of-beauty :
sawa
2026-09-07 09:36:01
0
user749230304553786
idrisa nikiyi :
uongo mtupu
2026-09-07 09:51:46
4
user905314991585
Chongerezi machozi :
duuuu
2026-09-07 08:08:58
0
yusuph.omar6
yusuph omar :
sasa ingekuwa na hasara gani vitu vingine waacheni waoane tuu bhana
2026-09-07 10:34:08
1
To see more videos from user @habaria_afrika, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About