Hiyo mic sio kwamba wametumia kumuzoofisha mzee wetu, unajua watanzania hatupendi kumuona mzee wetu anapitia hali hii
2026-09-07 10:44:51
5
Traore the great :
Meza kuu wanacheka kwanini??
2026-09-07 10:16:29
2
Omary Bopary :
wazee pumzikeni wachieni vijana wapambane wenyewe kwa wenyewe
2026-09-07 12:18:08
3
Hawa Mohammed :
kwisha habariake spika imekua mzito
2026-09-07 13:36:23
1
Qassim :
Hili ni laana kubwa na aibu kwa Taifa—kumlazimisha Mzee aliyestaafu kurudi kwenye ulingo wa siasa ili kunusuru nchi kutokana na hali ya udhalimu, utekaji, mauaji, wizi wa kura na matumizi mabaya ya vyombo vya dola kuwabebesha wapinzani kesi za uongo. Taifa linalowafikisha wazee wake mahali pa kurejea ulingoni si kwa tamaa ya madaraka, bali kwa kulinda demokrasia na mustakabali wa wananchi, linapaswa kutafakari kwa kina hali lililofikia.
2026-09-07 11:47:36
1
user57137683253277 :
anaangaika mno kuvuruga taifa letu tu
2026-09-07 12:29:21
3
Gosbert :
NAKUOMBAZEE WATIOBA UPONE HARAKA
2026-09-07 11:36:53
1
Mollel Paulo :
hawa wajumbe mbona wako dar
2026-09-07 12:13:50
1
Juma Charles :
mzee ameshachoka
2026-09-07 11:54:16
3
mjinjaibrahim :
babu yangu angetulia tu maana nchi hii inafyeka bila uruma
2026-09-07 15:06:59
0
Adamkombo1 :
huyo anataka urais wamuda
2026-09-07 16:12:20
0
lil suk :
mbona hawajatoa tangazo lakiserikali?
2026-09-07 10:31:26
1
kapesa :
mungu akufanyie wepesi mzee wetu
2026-09-07 11:01:57
1
Seif Kabelele :
OKOK
2026-09-07 16:18:20
0
Issa :
nawasiwasi na hiyo mike..😳
2026-09-07 12:56:10
0
Hassan@445 :
kwannn kwannn
2026-09-07 11:50:53
0
user6961227814740 :
tayari hii vita ngumu sana
2026-09-07 10:28:01
0
Josephmodoks :
pole kipenzi Cha wanyonge mungu akutangulie
2026-09-07 10:16:17
6
user8616579291181 :
ni. jaa tuu au midomo ya watu kwa matendo yake na usalitiwake kwa taifaaaa?
2026-09-07 11:48:15
4
Mauasadani :
maiki hyo
2026-09-07 10:55:35
0
Nipher❣️❣️🤲🤲 :
maiki hiyo
2026-09-07 11:55:25
1
Matilda John :
dah pole sana
2026-09-07 11:14:35
0
amani rabani :
mungu akurinde mze warioba
2026-09-07 11:12:27
0
Ferdinand Mwakalunde :
nadhani hiyo ni postoral hypotension kutokana na kusimama kwa muda mrefu
2026-09-07 12:48:42
0
To see more videos from user @evaristchahali, please go to the Tikwm
homepage.