@chawamata_tv: VIDEO: WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, ameanguka ghafla wakati akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari hali ya kisiasa nchini Tanzania. Warioba alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu ambapo aligusia kuwa kwa namna mambo yanavyokwenda haoni kama Katiba mpya itapatikana kabla ya 2030. Tukio hilo limetokea wakati wa mkutano huo unaoandaliwa na Tanzania Centre for Democracy (TCD), na kusababisha shughuli za mkutano kusitishwa kwa muda. Kufuatia tukio hilo, Mwenyekiti wa TCD, Dorothy Semu, ametangaza mapumziko mafupi ili kuruhusu hali kutulia na hatua zinazohitajika kuchukuliwa. Hadi sasa, taarifa zaidi kuhusu hali ya kiafya ya Jaji Warioba baada ya kuanguka kwake hazijawekwa wazi ingawa baada ya takriban dakika 10 Mzee Warioba alisimama na kwa usaidizi wa watu walio karibu naye waliondoka mkutanoni. Mkutano huo ulikuwa ukijadili hali ya kisiasa nchini pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu mustakabali wa demokrasia na siasa nchini Tanzania. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #tanzaniatrending
CHAWAMATA TV
Region: TZ
Monday 07 September 2026 10:10:52 GMT
Music
Download
Comments
Jay_cob. Angelin :
Nchi haijafikia mwisho kuwatumia hawa watu. Kweli hakuna watu wengine kufanya wanayoyafanya?
2026-09-07 12:25:47
5
Ds_family :
Kuna kitu kilimjia akakiangalia je ni nini tumuombee napia tumuombee Mungu atusaidie sisi wanadamu tunapita tu
2026-09-07 13:02:36
3
mokarachi4 :
iyo maic ipo sawa kweli
2026-09-07 11:34:13
6
Mr Idafa :
Alisimama muda mreeefu saaaana Pole saaaana Jasiri mwongoza njia Uzee wako hakika utakumbukwa...
2026-09-07 11:16:38
2
azora :
pole mzee wetu jaman unaipambania inchi yako japo kwa umri wako sasa na utumishi wako kwa umma huna cha kupoteza zaidi ya kutuhurumia
2026-09-07 10:56:21
2
bright chabu🦍 :
daah tayari.😥😥
2026-09-07 10:36:06
3
Shariff Hasan :
dunia inamuhukumu
2026-09-07 12:29:07
1
TERRY jr🏹🏹 :
kashachoka jaman pumziken
2026-09-07 11:05:19
0
Brohsjiv :
Awe pole. Apone haraka.
2026-09-07 17:15:30
0
Ngao Chris 2024 🦁🦁🦁 :
hongereni askari wa Tz mpo makini na ulinzi
2026-09-07 11:51:57
1
emanueliwildauson :
mze wa maana kabsa huyu
2026-09-07 14:12:30
0
matanga :
mhm
2026-09-07 10:50:36
0
Beuybet :
Sema Warioba tulitakiwa tuumpe ata Urais😔
2026-09-07 12:01:08
0
shafiru m,kashato :
mzee anaone kana kiafya hakuwa saw hata sauyiyake haitoki km tulivyo izoeeya mungu amuwekesawa afyayake
2026-09-07 13:13:45
0
Deo_datus 24 :
angalia vzr apo kuna kitu ame kiangalia mara ya kwanza aka endelea kuongea alivo angalia mara ya pili ndipo aka ishiwa nguvu ALLAH MJALIE MZEE WETU AWE SALAMA AMEEEN
2026-09-07 17:12:52
0
Abuusalman :
akae na watoto wake umri umeshaenda achane na masuala yanayoleta presha
2026-09-07 14:47:44
0
Ricky auto spare parts 🔩🔧🔧 :
kipaza tayr washakitia
2026-09-07 12:53:39
0
user6294321628058 :
Warioba pumzika!!!
2026-09-07 12:31:01
0
Maumau march Mwana wa adamu :
nimependa vile wamemuokoa
2026-09-07 10:31:56
0
arbaab :
kamuona esrail huyo umeona alivyogeuka then kapoteza nguvu hapo hapo
2026-09-07 15:13:48
0
To see more videos from user @chawamata_tv, please go to the Tikwm
homepage.