KAKA KUNA SABABU YA KWANINI HIZI NGUVU HUWA ZINAINUKA MSIHUBIRI UWONGO ,KAMA TUPO SAWA MUNGU ATAZUIA
2026-09-07 12:14:04
10
Sylvester :
Hatumchukii raisi bali tunachukia matendo yake, hatuna shida na mtu, shida ni matendo yake tu, mwambie abadilike uone kama kuna mtu atakua na muda nae
2026-09-07 14:02:21
4
ulugulu :
sio watu wote sema wafia dini wa kikristo hasa wakatoliki
2026-09-07 18:33:53
1
safe heavens :
hawa ndio wahubiri tunaowahitaji katika jamiii, wanaofundisha upendo na kuhehimu mamlaka
2026-09-08 05:40:55
0
MK bingo :
Pastor yesu alipoingia hekaluni akakuta nyumba ya mungu inafanyiwa biashara Alifanya nini?. kuna baadhi ya Mambo yanapuganiwa kwa vita, tangu Musa, Joshua, Daudi. Jaribuni kuwa real kwa waumini wenu.
2026-09-07 16:30:16
3
RADIATOR :
uko sahihi sana , #tanzaniaimara 🇹🇿💪
2026-09-08 07:51:31
0
victor ben :
kwani shetani anasemaje??
2026-09-07 22:34:45
1
Ezekiel Zakaria No 0703939040 :
wewe mchungaj unamadin sana kwenye ufahamu watakuelewa
2026-09-07 10:43:18
1
McKalandala_137 :
Pastor unakumbuka kama Eliya alivyompinga ahazi na Jezebel hadharani basi obadia alificha manabii wengine 100, so sometimes ni better kujificha kuliko kumzuia Eliya na kazi yake
2026-09-07 12:37:58
2
Mwinjilisti Geoffrey RukatilA :
kwahari ya kimwili nivigumu kumpenda adui Yako Hadi uwe umekomaa kirohoni
2026-09-07 11:33:52
2
💫sis💞 :
acha kumsingizia shetani we baba
2026-09-08 06:33:00
0
JOSEPHAT MUTASINGWA :
Amchukaye ndugye ni" muuaji" injili ya kweli ituponye sema Amina kama wew ni wa bilia
2026-09-08 06:41:20
0
mkomboz-med :
aliyeonywa kwa upendo na akaua kamwe hawez kuonywa kwa upendo