Polisi kupokea lawama ni sahihi kwani ndio inawajibika kikatiba na kisheria kulinda watu na mali zao.🤔
2026-09-13 09:12:27
0
kidamiharo :
cc tuliosoma Cuba jibu katoa hapo kua elewa neno katika kulinda taifa
2026-09-13 11:39:22
0
jackline simbila :
kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zake kwa hiyo mlitaka polisi wasilinde Mali za raia siyi kweli.
2026-09-13 03:00:42
0
SALIM MPINGA 26 :
Iyo misteki alifanya nani serikali au raia
2026-09-12 23:24:54
0
john seleli :
kwani aliandaa jeshi, lijipange kabra hata ya uchavuzi kufika ni nani? akisema uchaguzi hautakuwa salama, je uchaguzi ni vita? au sielewi hapa, hafu tanaandaa wachunguzi kilitokea Nini au nani alihusika! hii ni ajabu, unaweza kumoa nyumba myewe badae unamtafuta mvunjaji kweli hii ni sawa?
2026-09-13 16:58:13
0
jasluo :
Hawezi kua na hayo majibu akijaribu kujibu tu watampolpole mara moja
2026-09-07 13:20:54
2
Shaban_kambaya :
mwmboe AjibuSqari nani kauwa wa2.
2026-09-10 09:18:36
1
shukuru :
kulinda kuua huyu vp
2026-09-10 17:26:11
1
user7463278123571 :
Kumbe tulikuwa tunafanya makosa shuleni kujibu maswali moja kwa moja!!!!hapo mimi nimeelewa kwamba walinzi ndio walioua; wewe umeelewaje
2026-09-13 10:45:52
0
Engeneer Mtinda :
odemba unamuhoji nani hapo hamna mtu
2026-09-13 17:39:53
0
jackline simbila :
kulinda Mali waliofanya askari ambavyo ilipelekea kuua watu ambao walikuwa wezi na siyo waandamanaji maana kulikuwa na kutaka kufanya mapinduzi, na mara nyingi mapinduzi nyingi zinapotokea damu hata zisizo na hatia kusababisha damu kumwagika.
2026-09-13 02:58:52
0
daudkondo3 :
Yaani huyu Odemba Kuna siku atapewa jibu kwako hatuji ,maana maswali yake daa
2026-09-13 18:29:29
0
irene :
ccm
2026-09-12 22:16:02
0
babu nyuki :
kulinda au kuuwa watanganyika
2026-09-10 16:39:10
0
wizzy $haka :
ilo swal n kwere
2026-09-09 11:08:53
0
To see more videos from user @soda1134, please go to the Tikwm
homepage.