@bbcnewsswahili: Meli ya kivita ya Marekani USS Ross imetia nanga Mombasa. Meli hiyo imewasili Mombasa ikitokea Ghuba ya Uajemi ambapo inadaiwa kushiriki katika operesheni za kijeshi Mashariki ya Kati. Marekani inasema ziara hiyo ni ya kawaida kwa ajili ya mapumziko lakini kwa nini Mombasa? Na je, bandari hiyo inazidi kuwa muhimu kimkakati kwa Marekani katika bahari ya Hindi? #bbcswahili #USSROSS #Mombasa #kenyatiktok #foryou #fyp

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 07 September 2026 15:10:08 GMT
148763
11337
559
719

Music

Download

Comments

realjanetrangi
realjanetrangi :
USA navy has always been coming to Mombasa to dock, clean and restock, my patients who are in their 70’s and 80’s in America tell me about drinking warm Tusker in Mombasa and they remember the huge elephant tasks in Mombasa
2026-09-07 21:38:17
0
peezy9966
peezy :
Kenya is at risk for hosting us battle ship Iran is watching this
2026-09-07 19:16:09
19
eddyommy1980
Ahmed Omar :
Iran is watching Kenya is hosting US soldiers
2026-09-07 16:36:34
218
nzaku51
Nzaku :
Hapa tumeshikishwa Handball
2026-09-07 18:11:41
104
user5915050308133
🏀 :
kwani meli kukuja holiday mombasa ni makosa?
2026-09-07 18:12:09
46
thedone08
Lapozzy De Done :
Waondoke haraka sana..
2026-09-07 17:44:32
40
willkay003
SOUL TAN MASOUD :
sasa mnawaeleza Iran watukujie ama?mbona muongee ?mkinyamaza nini itafanyika?
2026-09-07 17:23:10
40
petro_wlassic_wear
Petro_Classic_Wear :
wakenya mko tayari🤣🤣🤣🤣
2026-09-07 16:08:44
56
sharlet001
sharlet robai :
it's not the first time that ship kukuja mombasa
2026-09-07 18:28:30
1
champe019
Moffat Treaty :
War is coming in Africa watch this space
2026-09-07 21:12:06
0
saidajm0
Saida k :
iraaan! come seee what kenya is doing!
2026-09-07 20:47:20
1
ngekewaaabdallah
Kenneth kaunda :
wakenya mnatulea shida mombas ni karibu sana na tanga Iran wakikosea target tyu biashara imeisha
2026-09-07 16:23:11
120
gamer.pro6
gamer_pro :
Guba ya wajemi ndo marsabit ama turkana? 😂😂
2026-09-07 18:39:46
7
shalwadesign
SHALWA :
Mmmmmmm, 1979 Kenya 🇰🇪 waliwa karibisha Israel 🇮🇱 kuvamia Uganda 🇺🇬 atujasaau.
2026-09-07 16:35:14
5
yusuphwm
Yusuph_wm :
ruto must go
2026-09-07 16:20:39
30
nob_eno
NOB 🔵 :
wanetu kenya mbona kama kama mnatutaftia matatizo
2026-09-07 17:33:39
5
baba.wa.imaan
Nyota ya kheri🌟 :
Afadhali mombasa ni mbali sana na Zanzibar😁
2026-09-07 16:56:57
37
smile.its.sunnah48
SMILE ITS SUNNAH😄 :
And again USS ABRAHAM LINCOLN IS AT THAILAND
2026-09-07 17:09:54
1
moses.watima1
Moses Wa Nangami 🇰🇪🇧🇭 :
Iran
2026-09-07 16:36:27
15
steve.marash
Steve Marash :
one day kasongo will lead us into trouble i sweya
2026-09-07 16:43:12
25
d.br436
Édú Br :
Iran wacombine na Russia alafu Kenya i combine na America alafu wakuje alaah😅😅😅
2026-09-07 17:40:08
5
theblackman502
☆☆Introvert O.p☆☆ :
Iran isione hiiii🤣😂😂
2026-09-07 16:40:31
7
positivity3491
positivity💛💚❤️🇰🇪🇰🇪 :
Acha nihame hapa likoni sasa[Tears of joy]
2026-09-07 17:31:44
30
cousin_wa_kenya
COUSIN_WA_KENYA :
kenya mnjiponza ndugu zetuu
2026-09-07 16:44:26
13
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About