me nachojiuliza kwnn mabadiliko kwenye chama tawala yaombwa na wazee ila vijana wa chama tawala hawayatakii??
2026-09-07 18:06:23
16
Shabani Sudi :
mama msomi wa wasomi. keep going.
2026-09-07 20:51:44
2
VAR6080 :
Bibi yetu very smart 🔥🫡🫡
2026-09-07 21:47:24
1
voisaclassic92 :
huyu mama aliiba hela zetu bilioni kumi halafu akasema hela za mboga wakati akiwa waziri leo hii anajifanya mwema...hebu akae atulie serikali ifanye kazi bana
2026-09-07 23:54:50
1
🎗 :
well said mama
2026-09-07 16:59:37
1
bernie_rockman :
mama tibaijuka Mungu akulinde na hina deni na Tanzania.
2026-09-07 17:39:51
11
Taiyoung Allyson Mono :
bongo unaibaa ccm una jisafisha chadema
2026-09-07 21:41:58
2
mpambanaji mstaarabu :
no comment
2026-09-08 02:48:39
1
Abdulsamad Suleiman :
wakikutaka wanashindwa nini kwani
2026-09-07 17:41:53
2
deo msingapore :
Mungu akulinde mama umenena
2026-09-07 17:26:14
6
Elvis gare :
shida yangu nimelelewa na mama nakupenda sana Dunia yangu MAMA
2026-09-07 22:24:42
4
Benny Mulishiwa :
🙏🙏🙏MUNGU AKULINDE MAMA
2026-09-07 18:34:47
2
Diwani :
ubarikiwe mama
2026-09-07 17:17:02
4
sajadi mbangali :
asante sana mama hakika mama tumeona manufaa ya Elimu yako kupitia mawazo yako 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
2026-09-07 21:36:38
2
dede :
ubarikiwe sana tuna kusikiliza kutoka congo
2026-09-07 18:37:03
2
mtui :
Bibi letu la Taifa kongole bibi yango🔥🔥🔥
2026-09-07 21:46:56
2
mahupaabdul :
Ccm hawataki kusikia hayo kamwe kwa sababu hawana hofu ya Mungu
2026-09-07 20:56:15
2
dudu baya :
wazee wetu tunawapenda Sana sana
2026-09-07 20:37:07
1
roseally8744 :
bibi Mungu akutunze jmnnn
Mungu akufiche wasio julikana wasikuone kamwe
2026-09-07 21:56:52
1
Michael Kiginga :
umeongea ukweli mama huo ndyo ukweli
2026-09-07 17:39:31
2
sehend osward :
mungu akulinde
2026-09-07 18:26:34
1
vaps49 :
Mama Tibaijuka na mzee Warioba ni msaada mkubwa kwa ccm na taifa. Wazee wengi wanafiki.
2026-09-07 19:43:37
1
SegenaMS :
Nataman kusikia Happi aliongea nini
2026-09-08 07:11:59
0
To see more videos from user @justice0591, please go to the Tikwm
homepage.