kule nilikuwa natumia calculator mara nyingi kuliko WhatsApp
2026-09-08 13:21:18
12
JayMpole :
Hii kitu ilinikuta nchi jirani tu hapo MOZAMBIQUE 🇲🇿
2026-09-08 12:42:46
7
Mcmanasee :
Yaan mm nikiwa out of Tz cm yangu iko mkononi calculator iko on muda wote . Kila nikiambiwa mm ni ku calculate na pesa ya home , nikipita dukani nikiona bei ni mwendo wa calculator 😂😂😂
nime kubar sana nakiwa nikutafute una kitu utasaidia sana brother
2026-09-07 18:48:09
8
ica.@.♥️ :
huyo kaka anaeskiliza mwishoe atalala
2026-09-08 19:49:17
4
DES Tanzania :
Mimi ni mwalimu, nimepata somo kubwa sana. Nilipanga kufundisha mada ya fedha kwa wanafunzi wa darasa la tatu, nimepata kitu hapa.
2026-09-08 05:55:24
19
Vanity wamapii :
mbona umetushiya ndugu yangu inamana tukienda aturudi tena ?
2026-09-07 18:33:13
9
Busara_Za_Stevie :
hii ilinikuta kenya ..
kuna jamaa wa boda aliniomba kiroho safi tuu bro nisaidie 4000 nikampa 🤣
badae napiga hesabu nilipumua kwa nguvu
2026-09-08 08:45:49
13
mu_yool_classic_883 :
Respect
2026-09-07 17:44:59
7
Wakishua :
Hapa kasema ukwel😂
2026-09-08 04:58:44
5
𓆩Abul Ashbali Daudi𓆪 :
unasema kwel
2026-09-09 09:52:36
2
ngoma jr :
ata mm nipo china uku napambana sana na izo changamoto 😂😂😂
2026-09-08 16:42:12
5
Jamila Gotribu :
ili lijamaa lina akili mingi sana
2026-09-08 21:27:36
3
sifakijiko zalaudebe :
hiyu jamaa natafta mawasiliano yake sana daah
2026-09-09 10:09:42
3
MINNAH AQUARIUS ♒️💜 :
huyu jamaa yupo kama AI😂😂😂😂😂
2026-09-08 09:10:05
10
Salmah Mayocha🌸 :
Kwani Hamna boda boda uko
2026-09-07 22:01:22
8
MR🎲ROKHO🎲SAFI🇹🇿🇿🇲🇨🇩🦅 :
Sema kweli mimi mwenyewe zambia kitu kinacho uzwa kwacha 100. Au 200 naona ndogo Ila sana Ila nikiambiwa ugari samaki 10000 Tz nabisha sinunui Ila mafanikio yanahitaji heshima ya pesa🙏🙏
2026-09-07 23:12:14
9
COREY :
bro mi ushamba wa pesa sina. yan mi niende sehemu et kisa kwetu 100 haina thamani ndo nikafananishe na 100 ya taifa naloenda huo ni Uzuzu wa hali ya juu. kitu cha msingi lazima ujue thamani ya pesa ya huko unakoenda
2026-09-08 11:14:56
2
eve 🥰🥰 :
Kwan uyu ni nani jmn
2026-09-08 08:09:51
4
Fetty lavish :
Huyu mtangazaji yupo darasani sio kazin
2026-09-08 23:26:40
2
Smaily DNB :
tas de parabéns jovens, falou direito e verdade.. discordo plenamente contigo tudo que diálogo neste podcast.
2026-09-08 16:56:57
2
To see more videos from user @amankafalume, please go to the Tikwm
homepage.